Ni wapi nitapaata air compressor ya lita 50?

Ni wapi nitapaata air compressor ya lita 50?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Natafta air compressor ya angalau lita 50 inayotumia umeme..
Lengo ni kufanya kazi na pikipik na bajaji...ikipatikana popote sawa Ila ikiwa Arusha itapendeza zaidi..
Used au mpya...
Ila isiwe imechoka sana
 
Back
Top Bottom