Ni wapi nitapata AVR amplifier used kwa bei nafuu??

Ni wapi nitapata AVR amplifier used kwa bei nafuu??

Mamaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
5,067
Reaction score
4,434
wakuu babari, nikipita kwenye maduka ya bongo ya electronics naona zimejaa subwoofer za mchina tu na hometheter za mchina na sio malysia wala japan.

kwa sisi wanazi wa.mziki ningependa nipate walau mashine ya avr amplifier 7.2 channel yenye bluetooth,usb na walau inasukuma kuanzia 150watts @6ohms,brand kama vile denon,onkyo,murantz, sony,pioneer etc.

Lakini kibongobongo hamna wengi wana ma amplifier ya kizaman. nimejaribu kuangalia website za kenya na uganda wanazo nyingi sana ile bei kisu. vipi hapa Tanzania wapi naweza pata mashine ya uhakika heavy kwa bei ya mswano?
 
Km una ela ndefu nunua USED hizi za kizamani
Then BLUTOOTH /USB option inapachikwa tu kwa kufanya mod

Au bluetooth spkia hivi vidogo vya 20k au 30k tunavifanya kuwa OUTPUT kwenye AUX yake so mziki ukitoka humo unaingia kwenye AMP sound zito
 
Km una ela ndefu nunua USED hizi za kizamani
Then BLUTOOTH /USB option inapachikwa tu kwa kufanya mod

Au bluetooth spkia hivi vidogo vya 20k au 30k tunavifanya kuwa OUTPUT kwenye AUX yake so mziki ukitoka humo unaingia kwenye AMP sound zito
hizo zina tec ya zamani,hupati vitu vya dobly atmos
 
Mcheki huyu
Screenshot_20210524-212952-1.jpg
 
Back
Top Bottom