Kamanda umeadimika kweli ndo mambo ya kusaka jiko nini?
Nakushauri ukamate Mwalimu wa shule ya Msingi au wa O'Level
napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa ushauri wako mzuri, kwa kweli vigezi vya nimtakaye ninavyo, lakini wengi ninao kutana nao hawajatimiza hata robo yake. Naweza nikaa na mtu tukapiga story lakini nikimuuliza maswali ili kumjua, navunjika moyo kwa kuwa hana ninachohitaji
ahaa wapi single but not reachable hapa weeeeeeeeeeeeekaka kama vp anza na bebii huyo, si unaona alivyoizimikia thread,, dada bebii mwaga swaga zako za cv kabla wavaa cl hawajamuwai
Ila tambua kitu kimoja ni ngumu sana kumpata mwanamke aliyetimiza vigezo vyote unavyovitafuta,kila mtu anamapungufu yake,ambayo hata ww unayo lkn kibinadamu inabidi baadhi ya mambo tuvumiliane, cha msingi angalia yale yaliyo muhimu km tabia,vitu ambavyo havirekebishiki,lkn vitu km elimu,mwonekano na vingine vidogovidogo ambavyo vinatengenezeka usivijali sn,mungu atakusaidia utampata aliye wako.napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa ushauri wako mzuri, kwa kweli vigezi vya nimtakaye ninavyo, lakini wengi ninao kutana nao hawajatimiza hata robo yake. Naweza nikaa na mtu tukapiga story lakini nikimuuliza maswali ili kumjua, navunjika moyo kwa kuwa hana ninachohitaji
siina maana hiyo kaka, ndio mana nikasema hata robo, nafahamu kabisa ya kwamba hakuna binadamu aliyekamilika na nipo tayari kukubali yale mapungufu madogo madogo na ambayo yanaweza kurekebishikaIsije kuwa unatafuta mtakatifu. Hao hawapo. Binadamu wote tuna udhaifu. Ili mradi wewe ni binadamu si rais kuishi na mtakatifu kama mkeo.
..au Ndo zile Availlable BUT not Today....nimeipenda hii bebiii!!!ahaa wapi single but not reachable hapa weeeeeeeeeeeee
napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa ushauri wako mzuri, kwa kweli vigezi vya nimtakaye ninavyo, lakini wengi ninao kutana nao hawajatimiza hata robo yake. Naweza nikaa na mtu tukapiga story lakini nikimuuliza maswali ili kumjua, navunjika moyo kwa kuwa hana ninachohitaji
Huyu gudi boi bure kabisaaa. anaona watu wanaulizia mara mbili mbili vigezo,labda watu wajipime.. hajui kama ndo responc za kiutu uzima zenyewe?...lol... safi mwaya ,, dada Bebiisasa wewe unataka tu kuletewa mke ina maana hata sifa za umtakae hujui sio.
Kumbe tupo wengi tunaotafuta wachumba wa kuoa!? Nina mwaka wa tatu bado sijampata wa kuoa...wote wana tabia moja ninayoichukia sana ya kusema uongo.ni kweli kaka, hili jambo kwa vijana wa sasa ni gumu mno. huwa nawaambia watu sisi ambao bado hatujaoa tuna maisha magumu sana, lakini ukiangalia ni kweli, kumpata tu wa kuoa ni shughuli pevu
Jamani wandugu, heshima zenyu bana.
Mimi ni kijana mwenye maisha na kipato cha kawaida, naona umri unasonga kwa kasi ya ajabu, na hivyo kuifanya nafsi yangu inishawishi ya kwamba wakati wa kuoa umefika. Na kweli hata mimi mwenyewe nimegundua kuwa kumbe ni kweli wakati wa mimi kuwa na mwenza ni huu. Maana jinsi ninavyoyaona haya maisha ni kama routine vile, hakuna cha zaidi kitakachonifanya nizidi kuchelewa kutafuta mwenza wa kuishi nae, zaidi ya yale yale ya kila siku (mfani, kwenda kazini, kurudi home, kula kwa mama lishe, week end kwenda kutembea na shughuli za hapa na pale kwa ajili ya kujiletea maendeleo). kutokana na haya yote naona nimebakisha mambo ya muhimu mawili tu katika maisha ya hapa ulimwengu nayo ni KUOA NA KUFA. Sasa kabla hili la kifo halijaovertake hili la ndoa ndio nimeona ya kwamba wakati umefika ili nikamilishe maisha kamili. Sasa huwa najiluliza je ni wapi naweza kupata mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu? nahitaji kuoa kwa nguvu zote bila ya kuchelewa au kupoteza muda. Wandugu je ni sehemu zipi naweza pata mke ambaye atakuwa na busara zote?
Nwasilisha
napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa ushauri wako mzuri, kwa kweli vigezi vya nimtakaye ninavyo, lakini wengi ninao kutana nao hawajatimiza hata robo yake. Naweza nikaa na mtu tukapiga story lakini nikimuuliza maswali ili kumjua, navunjika moyo kwa kuwa hana ninachohitaji
mkuu msaada tafadhali kwani muda sahihi ni upi wa kuwa na mweza? Na atleast ni ukae muda gani kama kuwa wachumba mpate faragha ya kufahamiana .mkuu inawezakena una udhaifu katika suala zima la kutafuta kitu unachohitaji , elewa kwamba
- kuna vitu unatakiwa wewe kama wewe uvione kwa mwenza unayemfikiria
- kuna mambo ambayo ni vigumu kuvipata kwa siku moja ila unatakiwa umweke karibu kwani jinsi anavyokuwa karibu anapoteza nguvu asili ya kuficha kitu
- wewe yawezekana una haraka sana ya kufikia malengo yako
- mfanye mtu unayetarajia kama rafiki yako wa karibu
- usiwe mwenye misimamo na imani zako zinavyokusukuma iwe na ndiyo iwe
mkuu msaada tafadhali kwani muda sahihi ni upi wa kuwa na mweza? Na atleast ni ukae muda gani kama kuwa wachumba mpate faragha ya kufahamiana .
Kumbe tupo wengi tunaotafuta wachumba wa kuoa!? Nina mwaka wa tatu bado sijampata wa kuoa...wote wana tabia moja ninayoichukia sana ya kusema uongo.
Nikishagundua mchumba kaniongopea ktk mazungumzo yetu, basi uhusiano wetu huwa unaishia hapo. Kwani naamini atanidanganya mengi kwenye maisha yetu ya ndoa.
hivi ni tatizo hapa ni style ya kumdodosa ndio ambayo inamfanya akudanganye/ au kuna jingine tafadhali msaada...mkuu kuna mambo amabayo hayatakiwi au hayahitaji haraka kuyafahamu kutoka kwa mwanamke kwani katika kumdodosa unamlazimisha akudanganye
hivi ni tatizo hapa ni style ya kumdodosa ndio ambayo inamfanya akudanganye/ au kuna jingine tafadhali msaada...
Maana hamnakitu na chukia kama kudanganywa inaiuma sana nikigundua hili...
Kweli swali gumu ila mke unaweza kumpata popote kwenye
daladala
kanisani
kazini
mtaami
chuo
harusi
au sherehe yeyote
club
msibani
anywhere mkuu endelea kusearch hata humu jf