Ni wapi nitasajili kikundi?

mutisya mutambu

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
208
Reaction score
82
Habari! Tu vijana 15 tumeunda kikundi chetu chenye malengo chanya kiuchumi. Sasa nimekwenda bank kufungua akaunti yetu nimekutana na masharti tofauti kwa kikundi kilichasajiliwa na ambacho hakijasajiliwa...nauliza, je ni wapi ntasajili na kuna umuhimu gani na faida ya kusajili kikundi?
 
Brela husajili vikundi na members wasizidi 20,umuhimu wa kusajili ni kurasimisha kikundi na shughuli zake
 
Wanasajili Kwa Afisa Maendeleo Ya Jamii Wilaya Ada Yake Ni Tsh 40,000/= Na Umuhimu Wake Ni Kikundi Kutambuliwa Na Serikali.Chamsingi Andaeni Katiba Nendeni Huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…