vyeti vya aina gani unazungumzia?? Kama ni vya kitaaluma na umethibisha kwamba yeye siyo mmiliki halali wa vyeti hivyo karipoti polisi maana hiyo ni criminal case!!
Hata kama alikuwa hajigambi bado anastahili kuadhibiwa kisheria,..
habari zenu wadau! ebu nisaidieni kuna mtu anatumia vyeti visivyo vyake na ana majigambo saana. so taarifa zake nipeleke wapi kwa hatua zaidi za kisheria?
Jina ni josephat charles ni mwalimu ana2mia vyeti vya kaka yake ambaye ni afisa u2mishi mkoa wa kagera alisoma PUBLIC ADMINISTRATION & POLITICAL SCIENCE -UDSM.
Jina ni josephat charles ni mwalimu ana2mia vyeti vya kaka yake ambaye ni afisa u2mishi mkoa wa kagera alisoma PUBLIC ADMINISTRATION & POLITICAL SCIENCE -UDSM.
Ni pm majina yake halisi na majina ya vyeti na kama ni muajiriwa niambie wapi ameajiriwa....ni pm tuu kwa hili tulisaidie taifa