Wakikujibu naomba unitagNi wapi Tanzania kuna mfumo wa unenepeshaji mifugo (hasa wa nyama)kwa njia ya "feedlots" sijui neno sawia kwa kiswahili. Kama Kuna wadau wanazo hizo Center tusaidiane ili nijifunze jinsi ya kuanzisha na kuendesha feedlots.
Nimetembea mashamba mengi ya serikali ila sijaona hii kitu. Huenda haiko profitable kwa mazingira ya hapa kwetu.Ni wapi Tanzania kuna mfumo wa unenepeshaji mifugo (hasa wa nyama)kwa njia ya "feedlots" sijui neno sawia kwa kiswahili. Kama Kuna wadau wanazo hizo Center tusaidiane ili nijifunze jinsi ya kuanzisha na kuendesha feedlots.
kipind cha nyuma wakat nasoma, Tuliwah kwenda kongwa ranch, Tulikaa pale miez miwil na walikua wanafanya wananenepesha wanyama.Ni wapi Tanzania kuna mfumo wa unenepeshaji mifugo (hasa wa nyama)kwa njia ya "feedlots" sijui neno sawia kwa kiswahili. Kama Kuna wadau wanazo hizo Center tusaidiane ili nijifunze jinsi ya kuanzisha na kuendesha feedlots.
Kwa sasa kongwa wananunua kwa wakulima na kuchinja tu moja kwa mojakipind cha nyuma wakat nasoma, Tuliwah kwenda kongwa ranch, Tulikaa pale miez miwil na walikua wanafanya wananenepesha wanyama.
Kile walikua wakifanya walikua wananunua ngombe ambazo zina umri wa mwaka mmoja au karibia mwaka mmoja then wanawapiga lishe wanachunga wakirud wanapewa lishe nzur na walikua na chumv zao wanapewa.
Haikua full feedlot maana hawakua wakipatiwa concentrates but Hay na makoro koro mengine.
Sijajua mpaka sasa kama ranch ile wanaendelea na mfumo ule. maana ilikua mwaka 2014
Iko profitable ila challenge ya hii project ni upatikanaji wa malisho ya kutosha.Nimetembea mashamba mengi ya serikali ila sijaona hii kitu. Huenda haiko profitable kwa mazingira ya hapa kwetu.
Ingia Instagram watafute Watu wanaitwa Mbogo ranches utapata jibuNi wapi Tanzania kuna mfumo wa unenepeshaji mifugo (hasa wa nyama)kwa njia ya "feedlots" sijui neno sawia kwa kiswahili. Kama Kuna wadau wanazo hizo Center tusaidiane ili nijifunze jinsi ya kuanzisha na kuendesha feedlots.
Shida Tanzania hatuna mazoea ya kununua vyakula kulingana na ubora(Quality). Sisi tunajali sana Quantity. Ukija na wazo la kuzalisha kwa ubora inakula kwako. Ndio maana super market ni chake sana. Watu wamezoea kununua vyakula kwenye masoko mjinga,ambako buku moja mtu anapata nyama ya kutosha.Nimetembea mashamba mengi ya serikali ila sijaona hii kitu. Huenda haiko profitable kwa mazingira ya hapa kwetu.
Nikweli kabisa, hii system ili upate faida unatakiwa uwe na soko lako special, either supermaket au Hotel za kitaliii au ku export. Ila ukianza kushindana na wamasai lazma ule hasara tuuu.Shida Tanzania hatuna mazoea ya kununua vyakula kulingana na ubora(Quality). Sisi tunajali sana Quantity. Ukija na wazo la kuzalisha kwa ubora inakula kwako. Ndio maana super market ni chake sana. Watu wamezoea kununua vyakula kwenye masoko mjinga,ambako buku moja mtu anapata nyama ya kutosha.
Uko sahihi,wengi wameingia na wengi wametoka!Nikweli kabisa, hii system ili upate faida unatakiwa uwe na soko lako special, either supermaket au Hotel za kitaliii au ku export. Ila ukianza kushindana na wamasai lazma ule hasara tuuu.
Wanaendelea Mkuukipind cha nyuma wakat nasoma, Tuliwah kwenda kongwa ranch, Tulikaa pale miez miwil na walikua wanafanya wananenepesha wanyama.
Kile walikua wakifanya walikua wananunua ngombe ambazo zina umri wa mwaka mmoja au karibia mwaka mmoja then wanawapiga lishe wanachunga wakirud wanapewa lishe nzur na walikua na chumv zao wanapewa.
Haikua full feedlot maana hawakua wakipatiwa concentrates but Hay na makoro koro mengine.
Sijajua mpaka sasa kama ranch ile wanaendelea na mfumo ule. maana ilikua mwaka 2014