doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
1. Nkiamka asubuhi nnafanya kazi zangu kwa haraka ili niwahi kazini na ninawahi.
2. Nikiwa nimechelewa kazini au mahala flani huwa naongeza mwendo wa kutembea ili niwahi katika jukumu hilo na nnawahi.
3. Nikitaka kumaliza mtihani kwa wakati lazima nikimbizane na muda ili nimalize maswali yote
Unahisi mwandishi wa methali isemayo"harakaharaka haina baraka" alikuwa amelenga maeneo gani katika uhalisia wa maisha ya kila siku?
Na tuambie ni wapi ulipingana na methali hiyo na ukapata tabu sana.
2. Nikiwa nimechelewa kazini au mahala flani huwa naongeza mwendo wa kutembea ili niwahi katika jukumu hilo na nnawahi.
3. Nikitaka kumaliza mtihani kwa wakati lazima nikimbizane na muda ili nimalize maswali yote
Unahisi mwandishi wa methali isemayo"harakaharaka haina baraka" alikuwa amelenga maeneo gani katika uhalisia wa maisha ya kila siku?
Na tuambie ni wapi ulipingana na methali hiyo na ukapata tabu sana.