Kuwa au kutokuwa na mapenzi ya dhati ni suala la mtu mwenyewe, wala halihusiani na kiwango cha elimu alichonacho!! IMO.......mtu aweza jifunza/kuiga mambo mbalimbali ktk mapenzi (ambayo yanaweza kujenga au kubomoa) kutokana na sehemu anazokwenda au watu anaokutana nao (iwe ni shule, safarini, au makazi mapya)......... regardless his/her level of education lakini SIO REALLY LOVE!!!