Kama hujui Wakurugenzi wa Halmashauri ambao wako Chini ya Tamisemi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi mkuu
Safari hii Tamisemi inaongozwa na mwanasheria Mchengerwa ambaye siyo muongeaji sana kama Jafo bali ni Mtendaji mzuri sana
Mchengerwa kisiasa anamzidi Mwenyekiti wa Chadema Freeman na Sekretarieti yote Kimbinu, kimaarifa na Kimkakati
Mchengerwa ofisini kwake anao Wasaidizi na mmoja Wao ni Dr Mahela Kijana wa Shujaa Magufuli
Hizi sarakasi za Chadema zinazoendelea sasa zinatokana na Ukweli kwamba Wameshafanya Utafiti na kugundua huenda hata huyo Mbunge mmoja waliyenaye hawatampata tena
Mchengerwa anaona mbali sana
Ahsanteni sana