Ni wazo tu jamani..... msinijie juu!


Thanks Mkuu... sasa na wale wanaochapa mahausgeli je?
 

Mchumba leo umeamkia upande gani? Unaachia point mpaka machanganyikiwa. Ila masahihisho kidogo kwenye hiyo red. Shetani huwa hadanganyagi mtu kufanya dhambi ya zinaa. Huwa ANASAIDIA. Mi alishanisaidiaga sana kipindi cha nyuma.
 
Mchumba leo umeamkia upande gani? Unaachia point mpaka machanganyikiwa. Ila masahihisho kidogo kwenye hiyo red. Shetani huwa hadanganyagi mtu kufanya dhambi ya zinaa. Huwa ANASAIDIA. Mi alishanisaidiaga sana kipindi cha nyuma.

Hahahahahaaa,kwenye hiyo red you said it well ,na ndio maana biblia inasema ikimbieni zinaa kama Yusufu,zinaa haingalii huyu ni padri au shehe au mtakatifu nani sijui.Na kwenye bluu nadhani siku hizi umeacha kwa vile umenibamba mimi si ndio mpenzi wangu?
 
mbona maneneo mengi. ongea moja kwa moja tukuelewe
 

You have said in a true side of it.
 
shemeji naona malavidavi yamekuzidia kwa mtoto zd.unadata na dreadz sio?😀

Hahaha! We mwenyewe si uliona natural black beauty? Mpwa Fidel alikuwa anajing'ata ulimi pale. Hahaha! Umenikumbusha rasta za baunsa YoYo! We mkali kwa kumbukumbu.
 
Hahaha! We mwenyewe si uliona natural black beauty? Mpwa Fidel alikuwa anajing'ata ulimi pale. Hahaha! Umenikumbusha rasta za baunsa YoYo! We mkali kwa kumbukumbu.
hahahahahah!😀😀
ataendelea kula kwa macho
 
kutoka nje ni HULKA TU MTU!

kuridhishana ni state of oneself mind.i mean kila kitu kinaanzia kwenye brain.ukiamua kuridhika unaridhika tu.ukiamua kuto ridhika ni the same case!


ukiamua kivipi sasa? mapenzi ya kuku nayo niridhike kwa kuamua?...na MJ1 wao wanasemaga kwa mdomo tu humu lakini utendani ndo ule ule umedhorota, wanaona wajibu ni sie tu kuwaridhisha....
 
ukiamua kivipi sasa? mapenzi ya kuku nayo niridhike kwa kuamua?...na MJ1 wao wanasemaga kwa mdomo tu humu lakini utendani ndo ule ule umedhorota, wanaona wajibu ni sie tu kuwaridhisha....

Hahaha! Habari za asubuhi mama. Naona leo umechelewa kidogo. Foleni mbaya sana.
 


mie nadhani cku hizi haihitaji uwe nazo au laa, huyo mwenye pesa za mawazo ataondoka kwake asubuhi kama anatoka ****** vile, haachi hata sumni ya ugali anabania apeleke kwa nyumba ndogo, nyie wanaume nyie dawa yenu inachemka.....
 
ukiamua kivipi sasa? mapenzi ya kuku nayo niridhike kwa kuamua?...na MJ1 wao wanasemaga kwa mdomo tu humu lakini utendani ndo ule ule umedhorota, wanaona wajibu ni sie tu kuwaridhisha....
mzima weye?
kwa hiyo unapenda sana mikiki-mikiki?
 
Kutoka nje mara moja inaongeza chachu ya mapenzi ndani ya nyumba utakulaje ugali kila siku?
 


na ukidatishwa mara moja kwa miezi 2 nayo utaita kudatisha?
 
na ukidatishwa mara moja kwa miezi 2 nayo utaita kudatisha?

Hehehe! Leo mama umeamua! Haya kumbe unataka kudatishwa kutwa mara tatu kama dozi ya panadol au vipi?
 
 
sasa nyamayao ilifikaje mpaka ukawa unadatishwa mara moja kwa miezi miwili?
au `juhudi` zako ziligonga mwamba? 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…