MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #41
na ukidatishwa mara moja kwa miezi 2 nayo utaita kudatisha?
Hahaha! Habari za asubuhi mama. Naona leo umechelewa kidogo. Foleni mbaya sana.
mzima weye?
kwa hiyo unapenda sana mikiki-mikiki?
hizi ni heka heka dimbaninisome vizuri baby, nice& slow icyo na mawazo, upo hapo?....hiyo mikiki mikiki ndio nini na wewe?
HApana dada nazungumziwa kudatishwa mara zote. Maana kuna wengine wanajisifia kuwa wanawezadatisgha hadi mtu akabadili lugha maji akaita mma sasa ndo nawaza hapa kuwa kama nina mtu anayenidatisha kihiiivyo (pamoja na malavidavi mengine) siwezitoka nje but nikitoka basi naye ahesabiwe kuwa kashindwa kunitunza it has to be his fault pia si kila siku kina dada tu!!
Sijui kama hili lina ukwlei kiasi gani? .Ila ninachojua kama mwanaume ni masikini anaenda kwa masikini mwenzie na tajiri hivyohivyo,at the end of day wote wame-cheat.siku hizi watu wanafanya zinaa hata kwa 500/= au bure kabisaaa.Na wanawake wanajirahisi sana.
sasa nyamayao ilifikaje mpaka ukawa unadatishwa mara moja kwa miezi miwili?
au `juhudi` zako ziligonga mwamba? 😀
Hivi MJ1 unafikiri kudatishwa pekee kwenye hayo malavidavi inatosha kumfanya mtu atulie?hebu angalia upande wa pili,kweli mume anakudatisha lakni ni kwembe hafai(shoga zako kashawatembelea na juzi umemkuta kitandani kwa hausgeli yupo naye).Au anakupiga ile mbaya(unaweza usiende kazini siku kadhaa unauguza vidonda.au tuseme yeye ni cha pombe wa kufa mtu(akirudi tilalila hadi inabidi uanike magodoro).hebu niambie mamii! hata kama anakudatisha kiaje,utavumilia kweli usiende kujiriwaza nje?au pengine sijakuelewa?
Hehehe! Leo mama umeamua! Haya kumbe unataka kudatishwa kutwa mara tatu kama dozi ya panadol au vipi?
shemeji hapa taratibu kidogo.naomba uiediti hii kitu,maanake uko tuu jeneroHivi MJ1 unafikiri kudatishwa pekee kwenye hayo malavidavi inatosha kumfanya mtu atulie?hebu angalia upande wa pili,kweli mume anakudatisha lakni ni kwembe hafai(shoga zako kashawatembelea na juzi umemkuta kitandani kwa hausgeli yupo naye).Au anakupiga ile mbaya(unaweza usiende kazini siku kadhaa unauguza vidonda.au tuseme yeye ni cha pombe wa kufa mtu(akirudi tilalila hadi inabidi uanike magodoro).hebu niambie mamii! hata kama anakudatisha kiaje,utavumilia kweli usiende kujiriwaza nje?au pengine sijakuelewa?
nyie wanaume nyie dawa yenu inachemka.....
c bora foleni, jana nilibembelezwa mtoko/vijizawadi eti kisa mtu ana raha zake chelsea wame win, mie niko loo watacheza lini tena hawa watu mana raha zilihamishiwa kwangu, niambie wanacheza lini nijiandae kumbomu....lol
hee hayo yako, mie nahitaji huduma yangu pale ninapojickia kuhudumiwa kama yeye ninavyompatia tukiachia mbali ugonjwa, upo hapo?....kutwa mara 3 inatuletea chakula mezani hiyo?
Hivi MJ1 unafikiri kudatishwa pekee kwenye hayo malavidavi inatosha kumfanya mtu atulie?hebu angalia upande wa pili,kweli mume anakudatisha lakni ni kwembe hafai(shoga zako kashawatembelea na juzi umemkuta kitandani kwa hausgeli yupo naye).Au anakupiga ile mbaya(unaweza usiende kazini siku kadhaa unauguza vidonda.au tuseme yeye ni cha pombe wa kufa mtu(akirudi tilalila hadi inabidi uanike magodoro).hebu niambie mamii! hata kama anakudatisha kiaje,utavumilia kweli usiende kujiriwaza nje?au pengine sijakuelewa?
yani mkuu shemeji we acha tu!hadi mida hii tunaongea bado taska haijaisha kwa brain yangu.Hahaha! Kilichokukumba wewe ni inversely proportional kwa kilichomtokea sista kwa bwashee Geoff. Jana dada alipata habari yake. Bwashee akifungwa bana! lol!
Hivi MJ1 unafikiri kudatishwa pekee kwenye hayo malavidavi inatosha kumfanya mtu atulie?hebu angalia upande wa pili,kweli mume anakudatisha lakni ni kwembe hafai(shoga zako kashawatembelea na juzi umemkuta kitandani kwa hausgeli yupo naye).Au anakupiga ile mbaya(unaweza usiende kazini siku kadhaa unauguza vidonda.au tuseme yeye ni cha pombe wa kufa mtu(akirudi tilalila hadi inabidi uanike magodoro).hebu niambie mamii! hata kama anakudatisha kiaje,utavumilia kweli usiende kujiriwaza nje?au pengine sijakuelewa?
Angalizo,
Tafadhali naomba unieleweshe kwenye hili, sielewi vizuri mbona kama kuna point muhimu sana inataka kuzungumzwa hapa?
Hivi MJ1 unafikiri kudatishwa pekee kwenye hayo malavidavi inatosha kumfanya mtu atulie?hebu angalia upande wa pili,kweli mume anakudatisha lakni ni kwembe hafai(shoga zako kashawatembelea na juzi umemkuta kitandani kwa hausgeli yupo naye).Au anakupiga ile mbaya(unaweza usiende kazini siku kadhaa unauguza vidonda.au tuseme yeye ni cha pombe wa kufa mtu(akirudi tilalila hadi inabidi uanike magodoro).hebu niambie mamii! hata kama anakudatisha kiaje,utavumilia kweli usiende kujiriwaza nje?au pengine sijakuelewa?
ni wazo tu ndugu zanguni msinitafune
mara nyingi tunaambiwa uwezo wa kumdhibiti mwanamme uko mikononi mwa mwanamke mwenyewe kwa maana ya mahaba, vionjo na ubunifu wake hasa katika suala zima la malove dovey! Lakini pia ninaamini kuwa uwezo wa mwanamme kumdhibiti mwanamke wake uko mikonoi mwake yeye kwa maana ya mahaba na shughuli nzito ampayo mwandani wake!
Sasa inapofikia mwanamme kutoka nje ya mahusiano -kuwa na nyumba ndogo huwa tunaanza kunyooshewa vidole wanawake kuwa tumeshindwa kuwadhibiti either kwa kuwa hatuwapi mapenzi ya kutosha so mnakwenda nje kuyatafuta!
Swali je inapofikia mwanamke kutoka nje ya mahusiano/ kutokuwa na hamu na mwenzi wake/kuwa mchoyo wa penzi kwa maana ya kukutana kimwili na mwenzake e.t.c tuichukulie kuwa ni failure yenu kuturidhisha au? Maana si huwa mnasema mwanaume anao uwezo wa kukupa mambo kiasi kwamba wengine wote unawaona si mali kitu? Au huwa ni majigambo tu?