Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu barikiwa wewe na uzao wako woteHapo zamani niliwahi kupata free online courses kwenye
"Global e-learning center"
unaregister then unakuta list ya courses wanazotoa, baada ya course unafanya paper, ukifaulu cheti unaweza kukidownload ukaprint
enhe tunawezakupata maelezo zaidi kuhusu huyo alisonNenda alison
Wanatoa Free courses nyingi sana, kama una cheti diploma au degree ni added advantage kuonyesha umejiongeza zaidi kwenye eneo Fulani ingia google search course unayotaka utazionaenhe tunawezakupata maelezo zaidi kuhusu huyo alison
Barikiwa je ni bure mkuu kila kitu?Wanatoa Free courses nyingi sana, kama una cheti diploma au degree ni added advantage kuonyesha umejiongeza zaidi kwenye eneo Fulani ingia google search course unayotaka utaziona
View attachment 3218031
Fata maisha yako yangu temana nayoWewe kila uzi unacoment unapewa bando la bure
Ni bure, kuna certificate wanatoa ila nafikiri kuna baadhi ya course kama sijakosea ni diploma ndio inabidi ulipie ukimalizaBarikiwa je ni bure mkuu kila kitu?
umetisha kakaWanatoa Free courses nyingi sana, kama una cheti diploma au degree ni added advantage kuonyesha umejiongeza zaidi kwenye eneo Fulani ingia google search course unayotaka utaziona
View attachment 3218031