Ni wendawazimu huu wa kuamua ku attack tabaka la watu fulani

Ni wendawazimu huu wa kuamua ku attack tabaka la watu fulani

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nimeona member mmoja ambaye yeye siku zote amekuwa akikosa hoja na kuamua kuwashambulia kada ya ualimu. Inawezekana kukawa na changamoto kwa walimu au kada. Lakini haiwezekani mtu mwenye akili timamu yeye akaamua kuwa anatukana tu walimu wakati wote.

Na bahati mbaya amekuwa akipata support kwa wenzie wenye mtindio wa ubongo kama yeye. Nimewaza tu keshokutwa huyu akihamia kwetu mainjiania... Akawa tu na chuki na sisi akaamua kuwa anatutukana. Je tutasemaje?

Kweli ni mtu mwenye afya ya akili huyu member? Kuwaita walimu manguruwe, mbwa n.k? Je si kuwa ana msongo wa mawazo au matatizo ya kiakili sasa ameamua kuhamishia kwa walimu?

Hujawahi kutana na vichaa wakiona mwanamke wanamkimbiza au kumtemea mate? Kuna shida siyo kidogo. Tukosoe kwa lugha ya staha na heshima kwa wenzetu.

Siku moja nikistaafu nitawafundisha watu mambo mbalimbali kwa kada yangu ya uinjinia. Hivyo kwa muda huo nitakuwa mwalimu pia. Kwa sasa tunaendelea kufungua nchi. Nipo Egypt.
 
Huenda mnamuona huyo member ni mwendawazimu lakini ikumbukwe kuwa kuna akili ndani ya kichwa cha mwendawazimu. Yule anaibua mambo ndani ya kada ya ualimu nayo ifanyiwe modification iheshemike. Ile kazi ni kubwa lakini haiheshimiki, mishahara ni midogo wakati ni shughuli pevu kucheza na ubongo wa mtoto. Utamlipaje mwalimu mshahara wa mwezi mmoja sawa hela ya chai ya asubuhi ya kigogo fulani? Huyo jamaa anaibua hoja nzito kuhusu maslahi ya walimu, nyie wengine hamjui hali za walimu mnamuona anawadhalilisha kumbe kumbe anawa emarge kada yao ithaminiwe. Mwalimu sio chombo eti unaweza kumpata kama chombo kilichopo kabatini
 
Nimeona member mmoja ambaye yeye siku zote amekuwa akikosa hoja na kuamua kuwashambulia kada ya ualimu. Inawezekana kukawa na changamoto kwa walimu au kada. Lakini haiwezekani mtu mwenye akili timamu yeye akaamua kuwa anatukana tu walimu wakati wote.

Na bahati mbaya amekuwa akipata support kwa wenzie wenye mtindio wa ubongo kama yeye. Nimewaza tu keshokutwa huyu akihamia kwetu mainjiania... Akawa tu na chuki na sisi akaamua kuwa anatutukana. Je tutasemaje?

Kweli ni mtu mwenye afya ya akili huyu member? Kuwaita walimu manguruwe, mbwa n.k? Je si kuwa ana msongo wa mawazo au matatizo ya kiakili sasa ameamua kuhamishia kwa walimu?

Hujawahi kutana na vichaa wakiona mwanamke wanamkimbiza au kumtemea mate? Kuna shida siyo kidogo. Tukosoe kwa lugha ya staha na heshima kwa wenzetu.

Siku moja nikistaafu nitawafundisha watu mambo mbalimbali kwa kada yangu ya uinjinia. Hivyo kwa muda huo nitakuwa mwalimu pia. Kwa sasa tunaendelea kufungua nchi. Nipo Egypt.
Kwani nchi ilikuwa imefungwa mpaka uifungue? Sifa inapatikana kwa kuchapa kazi siyo kwa kumchafua mtu mwingine, tena marehemu.
 
Nimeona member mmoja ambaye yeye siku zote amekuwa akikosa hoja na kuamua kuwashambulia kada ya ualimu. Inawezekana kukawa na changamoto kwa walimu au kada. Lakini haiwezekani mtu mwenye akili timamu yeye akaamua kuwa anatukana tu walimu wakati wote.

Na bahati mbaya amekuwa akipata support kwa wenzie wenye mtindio wa ubongo kama yeye. Nimewaza tu keshokutwa huyu akihamia kwetu mainjiania... Akawa tu na chuki na sisi akaamua kuwa anatutukana. Je tutasemaje?

Kweli ni mtu mwenye afya ya akili huyu member? Kuwaita walimu manguruwe, mbwa n.k? Je si kuwa ana msongo wa mawazo au matatizo ya kiakili sasa ameamua kuhamishia kwa walimu?

Hujawahi kutana na vichaa wakiona mwanamke wanamkimbiza au kumtemea mate? Kuna shida siyo kidogo. Tukosoe kwa lugha ya staha na heshima kwa wenzetu.

Siku moja nikistaafu nitawafundisha watu mambo mbalimbali kwa kada yangu ya uinjinia. Hivyo kwa muda huo nitakuwa mwalimu pia. Kwa sasa tunaendelea kufungua nchi. Nipo Egypt.
Pamoja na yote ana ukweli ndani yake. Kwa Ualimu tu na sio kada zingine kama uinjinia !?

Tanzania bora uwe na cheti cha kada ya Afya kuliko digrii ya Ualimu.
 
Huenda mnamuona huyo member ni mwendawazimu lakini ikumbukwe kuwa kuna akili ndani ya kichwa cha mwendawazimu. Yule anaibua mambo ndani ya kada ya ualimu nayo ifanyiwe modification iheshemike. Ile kazi ni kubwa lakini haiheshimiki, mishahara ni midogo wakati ni shughuli pevu kucheza na ubongo wa mtoto. Utamlipaje mwalimu mshahara wa mwezi mmoja sawa hela ya chai ya asubuhi ya kigogo fulani? Huyo jamaa anaibua hoja nzito kuhusu maslahi ya walimu, nyie wengine hamjui hali za walimu mnamuona anawadhalilisha kumbe kumbe anawa emarge kada yao ithaminiwe. Mwalimu sio chombo eti unaweza kumpata kama chombo kilichopo kabatini
Umenena kweli brother.
 
Huenda mnamuona huyo member ni mwendawazimu lakini ikumbukwe kuwa kuna akili ndani ya kichwa cha mwendawazimu. Yule anaibua mambo ndani ya kada ya ualimu nayo ifanyiwe modification iheshemike. Ile kazi ni kubwa lakini haiheshimiki, mishahara ni midogo wakati ni shughuli pevu kucheza na ubongo wa mtoto. Utamlipaje mwalimu mshahara wa mwezi mmoja sawa hela ya chai ya asubuhi ya kigogo fulani? Huyo jamaa anaibua hoja nzito kuhusu maslahi ya walimu, nyie wengine hamjui hali za walimu mnamuona anawadhalilisha kumbe kumbe anawa emarge kada yao ithaminiwe. Mwalimu sio chombo eti unaweza kumpata kama chombo kilichopo kabatini
Watu badala waungane kumpigia kelele maslahi ya walimu ili Nchi ipumue na kupata maendeleo ya kweli wao wanamshambulia mtetezi tena.

Kwenye Elimu bila maslahi bora ya walimu ni mark time tuu. Ije sera mpya ,,,mtaala mpya na syllabus mpya BILA MASLAHI BORA YA WALIMU NI KAZI BURE.
 
Tusameheane tu nachojua hakuna mtu ambaye amekaa sehemu amesettle anaendelea na maisha yake alafu from no where aanze kuwaandama watu fulani,maisha yamewachapa sana watu wana stress wanatafuta pa kuzitolea.
Leo umeongea
 
Hivi kwanini tusiwaite walimu matahira ikiwa wanafanya kazi masaa zaidi ya 8 na hawalipwi overtime ambayo ni haki yao?
Vipindi viko ndani ya masaa 8 yes hatukatai, je, kujisomea na kufanya kazi za shule nje ya muda huo hawakupaswa kulipwa?
Kwanini washindwe kudai haki zao?
Mkuu wa shule kila siku au wiki yupo wilayani usafiri anajilipia kutoka kwenye kaposho kake ka 250k.
Watumishi wa kada zingine masaa 8 yakizidi posho
Wakiingia night posho
Wakisafiri posho
Wakiomba likizo wanalipwa kabla ya kuanza safari.
Kushindwa kudai haki zenu ndio sababu ya kuonekana kuwa hamuna akili timamu
 
Nimeona member mmoja ambaye yeye siku zote amekuwa akikosa hoja na kuamua kuwashambulia kada ya ualimu. Inawezekana kukawa na changamoto kwa walimu au kada. Lakini haiwezekani mtu mwenye akili timamu yeye akaamua kuwa anatukana tu walimu wakati wote.

Na bahati mbaya amekuwa akipata support kwa wenzie wenye mtindio wa ubongo kama yeye. Nimewaza tu keshokutwa huyu akihamia kwetu mainjiania... Akawa tu na chuki na sisi akaamua kuwa anatutukana. Je tutasemaje?

Kweli ni mtu mwenye afya ya akili huyu member? Kuwaita walimu manguruwe, mbwa n.k? Je si kuwa ana msongo wa mawazo au matatizo ya kiakili sasa ameamua kuhamishia kwa walimu?

Hujawahi kutana na vichaa wakiona mwanamke wanamkimbiza au kumtemea mate? Kuna shida siyo kidogo. Tukosoe kwa lugha ya staha na heshima kwa wenzetu.

Siku moja nikistaafu nitawafundisha watu mambo mbalimbali kwa kada yangu ya uinjinia. Hivyo kwa muda huo nitakuwa mwalimu pia. Kwa sasa tunaendelea kufungua nchi. Nipo Egypt.

IMG_4799.jpg

utatufundisha nn ww zuzu kama mada zako ni za kulilia mabwana wa kiarabu
 
Back
Top Bottom