Ni wimbo gani ule una mstari mmoja unasema, "Unacheza pool na mabasha"?

DadiMkaliWao

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
242
Reaction score
380
Kama kichwa kinavyosema, nimeukumbuka huo mstari ila nimesahau ulikuwa kwenye wimbo gani na wa msanii gani. Ni wimbo wa bongo fleva wa enzi zile za golden age of Bongo Fleva kabla ya zama za Diamond.

Anayekumbuka naomba anitajie.
 
Cm yangu haina uwezo wa kuscreenshot...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…