Ni wivu au kushindwa kujiamini?






................wivu at work!!lol.....
 

Mh, hiyo itakuwa kero sasa :car: :car:
 

lakini si ndio nyinyi Nyamayao,
mnalalamika kipindi ukijua bwana/mumeo hana wivu na wewe?
 
wivu ni kuni za kuchochea mapenzi yakaiva or yakaunguwa.

wivu mdogo-mdogo ni kuni ya kuivisha mapenzi,
wivu ukizidi ni kuni za kuunguza mapenzi,
lakini basi, wivu wa mwanamke sio wa mwanaume,

let me tell you!!

mwanamke akimuonea wivu mumewe mara nyingi mapenzi yazidi.
mwanaume akimuonea wivu mkewe, hapa fitina huwa inaanza.
 
Wivu ni aina fulani inayoonyesha Care kwa mpenzi wako lakini ikizidi ndiyo inakuwa na madhara Jaribu kutoonyehs hali ya wivu kwa mkeo uone naamini ipo siku atakuambia kuwa hunipendi kabisa.
Mkuu umegonga nyundo, kwa mpenzi inaweza kuwa sababu ya kuachana πŸ˜›layball:
 


Unataka kusema hapo mwanaume hupaswi kuwa na wivu na mkeo kuepusha fitna?
 
teena ..... kwani ulikuwa wajua kero yafanyajwe ni vijivisa visa tuu vidogo vidog lakini ilimrad musuguane nafsi tuu baas...

NILHAM Misuguano inaweza sababisha majeraha makubwa, wengine wanaliazisha:suspicious:
 
teena ..... kwani ulikuwa wajua kero yafanyajwe ni vijivisa visa tuu vidogo vidog lakini ilimrad musuguane nafsi tuu baas...

Nilham, Blue Face kasema hapa mwanaume akiwa na wivu kwa mwanamke, basi aghalabu hugeuka kuwa kero!!!!!!!!
 
mmmh, love triangle.

 
Last edited by a moderator:
Hii issue ni kweli kabisa, ufafanuzi kwa wenye uzoefu zaidi!!
 
Unataka kusema hapo mwanaume hupaswi kuwa na wivu na mkeo kuepusha fitna?

no, labda nimeandika sivyo - na-mean wivu wa mwanaume, sababu kubwa labda kamuona mkewe/gal wake anazungumza na wanaume wengine, hapa wanaume wanakuwa na wasiwasi labda partner wake anajuwana na wanaume wengi na inafikia kuwa na fikra mbaya..
 
bacha, hii kitu inaitwa wivu kwa wapenzi sometimes inaboa sana inafikia wakati. huli, hunjwi, huangalii, hupumziki, hutembei, hucheki.... aaaggghhh!
 
bacha, hii kitu inaitwa wivu kwa wapenzi sometimes inaboa sana inafikia wakati. huli, hunjwi, huangalii, hupumziki, hutembei, hucheki.... aaaggghhh!


sasa si uachane na hii kitu wivu,
kama inakupa mateso yote hayo?
kwanini utaabike, kwani huwezi kumpenda bila kumwonyesha wivu?
Kuna wengine wanadai wivu ni chachandu ya mapenzi,
lakini kumbuka kuna baadhi ya watu hawahitaji chachandu ili kunogesha mapenzi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…