Unalo bibi linalokukaba na roho,basi ungemuandika jina usoni kuwa huyu wangu???
Si riziki yako yule,kanipenda nimempokea kwa mikono miwili,na nimetulia nae
Bibi mi sichukui wa watu,nawaweka ndani kwangu ati,na najua hasa kuwaweka.......
We endelea na maisha yako,acha bifu mi huniwezi ati hujalisoma hilo?
ulisema wa nini mi mwenzio nilikuwa nasali nikipate kama kile....sasa ndo imekuwa......
wawa hivi...
kila saa simu u(uko wapi ee katavi??? hebu fanya urudi kazini si umetoka tangu saa 3.oo mpaka hii na nusu hujarudi )
akikamata cellphone yako mbio inbox..
ukiongozana nae akutizama machoni usije ukatiza mwanamke..
mkitizama tv usiweke picha yenye mwanamke mrembo ukamkodolea macho hakutalalika tena hapo...etc...
asante Rose....wengine sie imegeuka kero kwa kweli, mie nilikuwa najijuaga nina wivu nimekuja gundua wa kwangu cha mtoto sana, mwanzoni nilidhani mambo yatarekebika tu lakini sasa nimeshaizoea hali japo ni kero kero....wivu sana unageuka kero kwa kweli.
Mkuu umegonga nyundo, kwa mpenzi inaweza kuwa sababu ya kuachana πlayball:Wivu ni aina fulani inayoonyesha Care kwa mpenzi wako lakini ikizidi ndiyo inakuwa na madhara Jaribu kutoonyehs hali ya wivu kwa mkeo uone naamini ipo siku atakuambia kuwa hunipendi kabisa.
Mh, hiyo itakuwa kero sasa :car: :car:
mapenzi bila wivu yana walakini lazima utaona mwenzio hakupendi sema usizidi mipaka
wivu ni kuni za kuchochea mapenzi yakaiva or yakaunguwa.
wivu mdogo-mdogo ni kuni ya kuivisha mapenzi,
wivu ukizidi ni kuni za kuunguza mapenzi,
lakini basi, wivu wa mwanamke sio wa mwanaume,
let me tell you!!
mwanamke akimuonea wivu mumewe mara nyingi mapenzi yazidi.
mwanaume akimuonea wivu mkewe, hapa fitina huwa inaanza.
teena ..... kwani ulikuwa wajua kero yafanyajwe ni vijivisa visa tuu vidogo vidog lakini ilimrad musuguane nafsi tuu baas...
Hii issue ni kweli kabisa, ufafanuzi kwa wenye uzoefu zaidi!!Wivu ni SUMU mbaya sana kwenye mapenzi wajameni...IT DEPENDS na jinsi mtu unavoweza kuuhandle
wengine unazidi hadi unakuwa GUBU kiabisa
Mi niulize tu katika muktadha huu, kwa nini nyumba ndogo 'zinauma' zaidi kuliko kubwa......hivi nao huo ni wivu ama GUBU.....
MJ1 hapa najua unaweza kuwa na 'a second thought'
Unataka kusema hapo mwanaume hupaswi kuwa na wivu na mkeo kuepusha fitna?
Mi sijambo Michelle,
Hivi wewe unamwonea wivu hashycool au,
ni kwasababu hujiamini tu?
nitajiamini nini kwa mrembo aina ya Nilham???πlayball:
bacha, hii kitu inaitwa wivu kwa wapenzi sometimes inaboa sana inafikia wakati. huli, hunjwi, huangalii, hupumziki, hutembei, hucheki.... aaaggghhh!