ni ya sister ako?

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2009
Posts
2,935
Reaction score
3,346
...bahili mmoja alichukua mwanamke na kwenda kufanya naye mapenzi...alipomaliza haja zake akakataa kumlipa. Akamwambia, "Sikulipi mimi..kwanza nyumba tuliyotumia ni babaangu...halafu kitanda hiki cha bro wangu!" Mwanamke yule akamtazama jamaa kwa hasira. Kisha akamwuliza, " Na hii k*** ni ya sister ako?
 
Hivi akimjibu ............. NDIYO ..............atamwacha bila kulipa.???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…