Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Rejea mada tajwa hapo juu.
Mkurugenzi wa ufundi anakazi gani (majukumu) kwenye timu.
Kama sijasahau amewahi kupita KIM POULSEN, AMMY NINJE & OSCAR MIRAMBO pale TFF. Binafsi sijawahi kuona nini wanakifanya (la lwa kutofahamu majukumu yao)
Baada ya kuzuka tetesi za Mwinyi Zahera kutakiwa na SIMBA SC kuwa Mkurugenzi wa ufundi ndani ya klabu ya Simba, je majukumu (kazi) yake itakua ipi?
Kwa mifumo ya klabu zetu atatimiza majukumu yake kiufasaha.
Asante, naomba kuwasilisha
Mkurugenzi wa ufundi anakazi gani (majukumu) kwenye timu.
Kama sijasahau amewahi kupita KIM POULSEN, AMMY NINJE & OSCAR MIRAMBO pale TFF. Binafsi sijawahi kuona nini wanakifanya (la lwa kutofahamu majukumu yao)
Baada ya kuzuka tetesi za Mwinyi Zahera kutakiwa na SIMBA SC kuwa Mkurugenzi wa ufundi ndani ya klabu ya Simba, je majukumu (kazi) yake itakua ipi?
Kwa mifumo ya klabu zetu atatimiza majukumu yake kiufasaha.
Asante, naomba kuwasilisha