Ni yapi mambo ya kuzingatia wakati unaichukua gari yako bandarini?

Ni yapi mambo ya kuzingatia wakati unaichukua gari yako bandarini?

Ukaridayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
515
Reaction score
476
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, je ni vitu gani unapaswa kuvizingatia kwenye gari before hujakabidhiwa?? Gari uliyoagiza nje?

Kwenye injini? Mana wengine wanasema kuna kitu kinaitwa thermal usipokiondoa gari yako itachemsha tu hapa na Moro utoboi? Je ni kweli?

Na hata baada ya kukiondoa na kumaliza mambo yote ya kulisajili je vitu gani vya kubadili kabla ya kuanza kuingia rasmi barabarani ukiachilia mbali matairi na kumwaga oil.

Hebu tuanzie hapo kwa wenye uzoefu na tukumbuke gari zetu(1790Cc-1500Cc) purposely is for long safari..

Tukianzia kule kule unakokabidhiwa mpaka kwako mwenyewe.
 
Osie Shemkunde, usikubali kuondoa thermo start utajuta! Achana na mafundi wa mtaani. Kila kitu kipo purposely umenikumbusha tulichukua gari ikawa honi ni mbovu yaani inajipiga yenyewe Mwanzo mwisho, kufika kwa FUNDI akauliza, mnataka isiwasumbue? Basi Subiri daaaaah, akaja kui-disable kabisa.

Back to the topic,
Kagua oil kama ipo ya kukuwezesha kufika garage, pili lazima ufanye service na tena kuna Oil maalum ya kusafishia injini, itumie kwanza hio kisha Weka oil yake. Kumbuka Kuna baadhi ya engine zina oil maalum, Soma!!

Angalia accessories nyingine Kama wheel spanner, jack, handle, spare tyre etc. The rest utafanya mwenyewe mkuu
 
Osie Shemkunde, usikubali kuondoa thermo start utajuta! Achana na mafundi wa mtaani. Kila kitu kipo purposely umenikumbusha tulichukua gari ikawa honi ni mbovu yaani inajipiga yenyewe Mwanzo mwisho, kufika kwa FUNDI akauliza, mnataka isiwasumbue? Basi Subiri daaaaah, akaja kui-disable kabisa.

Back to the topic,
Kagua oil kama ipo ya kukuwezesha kufika garage, pili lazima ufanye service na tena kuna Oil maalum ya kusafishia injini, itumie kwanza hio kisha Weka oil yake. Kumbuka Kuna baadhi ya engine zina oil maalum, Soma!!

Angalia accessories nyingine Kama wheel spanner, jack, handle, spare tyre etc. The rest utafanya mwenyewe mkuu
Mkuu nimekuelewa sana... Mana hilo la themal hawa mafundi wa kitaa wamekishikilia kweli... Hebu malizia after kudisable hiyo honi...

Na je gearbox unaweza kuikuta kimeo hata kama gari ni ya kuagiza mkuu...
 
Back
Top Bottom