Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
SHEIKH SULEIMAN TAKADIR NA IDDI TULIO
Nimeona kuna mkanganyiko wa nani ni nani kati ya wenyeviti hawa wawili wa Baraza la Wazee wa TANU.
Kushoto ni Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958.
Kulia ni Iddi Tulio Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1958 - 1963.
Sheikh Suleiman Takadir alifukuzwa TANU mwaka wa 1958 kutokana na ugomvi uliozuka baina yake na Rais wa TANU Julius Nyerere.
Ugomvi huu ulisababishwa na TANU kupiga kura kukubali kushiriki uchaguzi wa Kura Tatu na ulihusu hali ya baadae ya Waislam katika Tanganyika huru.
Iddi Tulio akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, baraza lilivunjwa mwaka wa 1963 kwa shutuma za kuchanganya dini na siasa.
Nimeona kuna mkanganyiko wa nani ni nani kati ya wenyeviti hawa wawili wa Baraza la Wazee wa TANU.
Kushoto ni Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958.
Kulia ni Iddi Tulio Mwenyekiti Baraza la Wazee wa TANU 1958 - 1963.
Sheikh Suleiman Takadir alifukuzwa TANU mwaka wa 1958 kutokana na ugomvi uliozuka baina yake na Rais wa TANU Julius Nyerere.
Ugomvi huu ulisababishwa na TANU kupiga kura kukubali kushiriki uchaguzi wa Kura Tatu na ulihusu hali ya baadae ya Waislam katika Tanganyika huru.
Iddi Tulio akiwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, baraza lilivunjwa mwaka wa 1963 kwa shutuma za kuchanganya dini na siasa.