WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
TAKWIMU HIZI ZIMENIFANYA NITAFAKARI.NDOA HUWEZA KULETA HATARI ZAIDI KULIKO KINGA DHIDI YA UKIMWI:
"According to the data from Tanzania HIV AIDS and Malaria Indicator Survey (THMIS) 2007-2008, the national prevalence among the sexually active populations (between 15 and 49 years of age) is reported to be 5.7 %. The data shows more women (6.6 %) are infected than men (4.6%). HIV prevalence is higher among women than men in both urban and rural areas and highest among married couples. Amongst HIV-discordant couples, there are more male-positive-female-negative couples than vice versa. Among certain older age groups, men have higher HIV prevalence than women."
Hapo kwenye blue hapo!
1. Inaonekana walio kwenye ndoa ndio wenye kuambukizwa/kuambukizana zaidi kuliko baina ya wasio na ndoa.
2. Walio kwenye ndoa, kuna wanandoa ambao mmoja ameambukizwa wakati mwingine hana maambukizi.Na wengi wasio na maambukizi kati ya wana ndoa wanawake ndio wengi.
3. Katika makundi yenye umri mkubwa, wanaume wengi wameambukizwa kuliko wanawake.
Kuna dhana kwamba waliooana wanalindana dhidi ya UKIMWI kwa vile kutakua na uhakika wa mpenzi mmoja, asiye na maambukizi! Lakini kwa ukweli wa maisha ya siku hizi, inaonekana dhahiri kuwa ndoa yaweza kuwa chanzo kikubwa cha kuangamia kwa gonjwa la UKIMWI.
Je nini kifanyike? watu wasioane? waliooana watumie kinga? au inakuwaje? TUJADILI
"According to the data from Tanzania HIV AIDS and Malaria Indicator Survey (THMIS) 2007-2008, the national prevalence among the sexually active populations (between 15 and 49 years of age) is reported to be 5.7 %. The data shows more women (6.6 %) are infected than men (4.6%). HIV prevalence is higher among women than men in both urban and rural areas and highest among married couples. Amongst HIV-discordant couples, there are more male-positive-female-negative couples than vice versa. Among certain older age groups, men have higher HIV prevalence than women."
Hapo kwenye blue hapo!
1. Inaonekana walio kwenye ndoa ndio wenye kuambukizwa/kuambukizana zaidi kuliko baina ya wasio na ndoa.
2. Walio kwenye ndoa, kuna wanandoa ambao mmoja ameambukizwa wakati mwingine hana maambukizi.Na wengi wasio na maambukizi kati ya wana ndoa wanawake ndio wengi.
3. Katika makundi yenye umri mkubwa, wanaume wengi wameambukizwa kuliko wanawake.
Kuna dhana kwamba waliooana wanalindana dhidi ya UKIMWI kwa vile kutakua na uhakika wa mpenzi mmoja, asiye na maambukizi! Lakini kwa ukweli wa maisha ya siku hizi, inaonekana dhahiri kuwa ndoa yaweza kuwa chanzo kikubwa cha kuangamia kwa gonjwa la UKIMWI.
Je nini kifanyike? watu wasioane? waliooana watumie kinga? au inakuwaje? TUJADILI