Ni zamu ya Ulaya kutawaliwa: Ulaya Magharibi ni koloni mamboleo la Marekani

Ni zamu ya Ulaya kutawaliwa: Ulaya Magharibi ni koloni mamboleo la Marekani

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ulaya magharibi hawana ujanja!! Wamejikuta wanalazimishwa na mazingira kutawaliwa na Marekani!! Hawana maamuzi yanayozingatia maslahi yao tu, bali wanalazimika kutekeleza sera zenye maslahi kwa marekani!

Marekani imetengeneza mazingira ya hofu bandia ya kushambuliwa na Urusi!! Marekani imewalazimisha wazungu wa maghjaribi kuachana na gesi ya urusi yenye bei nafuu na kununua gesi ghali mara tatu toka marekani!

Ili kukidhi adhma hiyo marekani ilifanya njama ya kulipua bomba la gesi lililokuwa linapeleka gesi ujerumani ili kuilazimisha ujerumani kuachana na gesi ya urusi!! na wakafyata mkia! Kisa - mkileta fyoko hatutawasaidia urusi ikiwashambulia!
 
Umekaa mahali fulani hivi, kwa kukosa kazi ya kufanya ukaamua uje kutupia taiataka lako hapa!

Mbona unaizungumzia Ulaya na usiizungumzie BRICS na huku ukijua wanufaika wa hiyo ni China na Russia
 
Ulaya magharibi hawana ujanja!! Wamejikuta wanalazimishwa na mazingira kutawaliwa na Marekani!! Hawana maamuzi yanayozingatia maslahi yao tu, bali wanalazimika kutekeleza sera zenye maslahi kwa marekani!

Marekani imetengeneza mazingira ya hofu bandia ya kushambuliwa na Urusi!! Marekani imewalazimisha wazungu wa maghjaribi kuachana na gesi ya urusi yenye bei nafuu na kununua gesi ghali mara tatu toka marekani!

Ili kukidhi adhma hiyo marekani ilifanya njama ya kulipua bomba la gesi lililokuwa linapeleka gesi ujerumani ili kuilazimisha ujerumani kuachana na gesi ya urusi!! na wakafyata mkia! Kisa - mkileta fyoko hatutawasaidia urusi ikiwashambulia!
Toka wamarekani wakupige ban ya kukanyaga ardhi yao kwa tuhuma za "Kudhulumu uhai wa watu" umebadilika na kuwa adui mkubwa sana wa US.
Relax Bashite, hii vita haikuhusu
 
Ulaya magharibi hawana ujanja!! Wamejikuta wanalazimishwa na mazingira kutawaliwa na Marekani!! Hawana maamuzi yanayozingatia maslahi yao tu, bali wanalazimika kutekeleza sera zenye maslahi kwa marekani!

Marekani imetengeneza mazingira ya hofu bandia ya kushambuliwa na Urusi!! Marekani imewalazimisha wazungu wa maghjaribi kuachana na gesi ya urusi yenye bei nafuu na kununua gesi ghali mara tatu toka marekani!

Ili kukidhi adhma hiyo marekani ilifanya njama ya kulipua bomba la gesi lililokuwa linapeleka gesi ujerumani ili kuilazimisha ujerumani kuachana na gesi ya urusi!! na wakafyata mkia! Kisa - mkileta fyoko hatutawasaidia urusi ikiwashambulia!
Sijui kama unafahamu. Lakini marekani unawezakuta wanawadai bado pesa za WWW3 ambazo walikopa nyingi kwakutengenezewa silaha za kupambana na Hitler.
 
Ulaya magharibi hawana ujanja!! Wamejikuta wanalazimishwa na mazingira kutawaliwa na Marekani!! Hawana maamuzi yanayozingatia maslahi yao tu, bali wanalazimika kutekeleza sera zenye maslahi kwa marekani!

Marekani imetengeneza mazingira ya hofu bandia ya kushambuliwa na Urusi!! Marekani imewalazimisha wazungu wa maghjaribi kuachana na gesi ya urusi yenye bei nafuu na kununua gesi ghali mara tatu toka marekani!

Ili kukidhi adhma hiyo marekani ilifanya njama ya kulipua bomba la gesi lililokuwa linapeleka gesi ujerumani ili kuilazimisha ujerumani kuachana na gesi ya urusi!! na wakafyata mkia! Kisa - mkileta fyoko hatutawasaidia urusi ikiwashambulia!
Bado bongolala soon,kwa jinsi tunavyofanya hatukqepi hilo.
 
Sasa kama ka bitch Israel kana wapelekesha wamefika pabaya maskini, na huyo wa Ufaransa watamtoa hapo hataki kupeleka silaha
 
Ni stor au ni mawazo yako….Huna ushahid wowote wa kutetea hoja zako.
Ufaransa amekua analalamikia hilo mara kwa mara; alilalamikia hilo wakati USA ya Bush Jr inakwenda kuivamia Iraq, kalalamikia hilo wakati wa vita vya Ukraine na Russia hasa wakati wa kuiwekea vikwanza Russia, maisha yalikua magumu sana Ulaya hasa kwenye issue ya gas na mafuta kupanda bei.
 
Back
Top Bottom