R Rehema Athmani Member Joined Aug 29, 2012 Posts 14 Reaction score 0 Sep 12, 2012 #1 hi, nimeona utumishi wameita, ila naomba kuuliza usaili huu ni wa tangazo la lini? au wa zile ajira 2000 za may 28?
hi, nimeona utumishi wameita, ila naomba kuuliza usaili huu ni wa tangazo la lini? au wa zile ajira 2000 za may 28?
K kakamukubwa JF-Expert Member Joined Apr 23, 2012 Posts 203 Reaction score 27 Sep 12, 2012 #2 Rehema Athmani said: hi, nimeona utumishi wameita, ila naomba kuuliza usaili huu ni wa tangazo la lini? au wa zile ajira 2000 za may 28? Click to expand... Fungua soma utaelewa,si kik
Rehema Athmani said: hi, nimeona utumishi wameita, ila naomba kuuliza usaili huu ni wa tangazo la lini? au wa zile ajira 2000 za may 28? Click to expand... Fungua soma utaelewa,si kik
chuma cha reli JF-Expert Member Joined Jul 2, 2012 Posts 2,764 Reaction score 2,559 Sep 13, 2012 #3 hawa utumishi wanatuzingua coz hawaeleweki ni maombi ya lini hata mi wananchanganya
Uhalisia Jr Senior Member Joined Sep 10, 2012 Posts 134 Reaction score 46 Sep 14, 2012 #4 Jaribu kukumbuka mweziMay ni kama kulikua na gumzo la ukosefu wa ajra, so mi naona serikali ilikuja na njia ya kuzima maneno. Pina nakumbuka zilitangazwa sana katika vyombo vya habari kitu ambacho sio kawaida ya Utumishi. Changa la macho lile!
Jaribu kukumbuka mweziMay ni kama kulikua na gumzo la ukosefu wa ajra, so mi naona serikali ilikuja na njia ya kuzima maneno. Pina nakumbuka zilitangazwa sana katika vyombo vya habari kitu ambacho sio kawaida ya Utumishi. Changa la macho lile!