Ni zipi dalili za kujua mwenzi wako kuwa anacheat!!!

Ni zipi dalili za kujua mwenzi wako kuwa anacheat!!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Ndug zanguni ni dalili zipi unaweza kuzijua kuwa mwenzi wako kuwa anacheat au anatoka nje ya mahusiano yenu?


  • Je nikutokuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa na wewe uliye naye?
  • Je ni kwa kuwa na tabia ya kutonunua na kutoa mahitaji muhimu nyumbani kwake?
  • Je ni kwa yeye kuwa na tabia ya ugomvi usiokuwa na sababu kila kukicha?
  • Je ni kwa na tabia ya kuchelewa kurudi kila siku au mara mbili kwa wiki?
  • Je ni kwa kuwa na tabia ya kumsifia/mume/mke mwingine wakati wewe upo naye?
  • Je kwa kuwa na tabia ya kusikiliza hoja nyingi kutoka kwa marafiki zako juu ya mienendo yako?

au kuna ishara mahususi za kugundua kuwa mumeo/mkeo ancheat
 
Ndug zanguni ni dalili zipi unaweza kuzijua kuwa mwenzi wako kuwa anacheat au anatoka nje ya mahusiano yenu?


  • Je nikutokuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa na wewe uliye naye?
Inategemea na idadi ya mara alizokugomea, mwingine anachoka tu na kazi nyingi za mchana si lazima kuwa anado nje.

Je ni kwa kuwa na tabia ya kutonunua na kutoa mahitaji muhimu nyumbani kwake?

Si lazima pengine pesa analewea au anasave kwa ajili ya future developments. Hili halina guarantee sana kuwa anacheat inawezekana pia hapati pesa ya kutosha au ana madeni nje kibao.

Je ni kwa yeye kuwa na tabia ya ugomvi usiokuwa na sababu kila kukicha?

Frustrations pia zinawezakuchangia yeye kuwa na hasira na wewe kila mara na akajikuta kila ukifanyacho hakina uzuri so ugomvi

Je ni kuwa na tabia ya kuchelewa kurudi kila siku au mara mbili kwa wiki?

Hii nayo inawezakuwa inachangiwa na mengineyo kama ulevi na washkaji au kuwa workholic

Je ni kwa kuwa na tabia ya kumsifia/mume/mke mwingine wakati wewe upo naye?

Hapana Chaku wengine hulka yao, wao wakiona mwanamke hawaishii kusifia bali huweza hata kugeuka shingo but wakawa si macheater bali wanaapreciate uumbaji wa MKUU.

Je kwa kuwa na tabia ya kusikiliza hoja nyingi kutoka kwa marafiki zako juu ya mienendo yako?

au kuna ishara mahususi za kugundua kuwa mumeo/mkeo ancheat

hapana hii pia inaweza kusababishwa na wivu tu na si kuwa anacheat

1. Nijuavyo mie kama anacheat utamgundua tu mabadiliko ya tabia ambazo mwanzo hakuwa nazo mf. namna anavyoiprotect simu yake na kwa mwanaume chatting za muda mrefu (huwa sielewi wanaume anayechat na sms muda mrefu huku akicheka mwenyewe huwa anaongelea nini na mwanaume mwenzie? lazima atakuwa anacheat tu!

2. Kuingia bafuni na simu hata akienda kujisaidia haja ndogo anaingia nayo
3. mienendo yake haieleweki anaweza akasema yuko ofcn wakati wewe unasikia muungurumo wa gari au mziki.
4. Receipts mbalimbali zinazoonyesha alikwenda mahali ambapo ukimwuliza anasema hajakwenda.
 
mtu anaweza asifanye hata moja kati ya uliyouliza na akawa anacheat.kuna watu siku hizi wana do mchana wakati wa lunch time..faster .....saa kumi na mbili yuko home anacheza na watoto na wewe unajiona mjanja kumbe....
 
mtu anaweza asifanye hata moja kati ya uliyouliza na akawa anacheat.kuna watu siku hizi wana do mchana wakati wa lunch time..faster .....saa kumi na mbili yuko home anacheza na watoto na wewe unajiona mjanja kumbe....

Wewe ndio unaelewa game aisee. Kuongezea tu, watu wanatiana kwenye magari, vichaka, na sehemu zingine. Na kutiana hakuchukui masaa...ni vidakika vichache tu kitu na boksi. Halafu mwenzio akirudi jioni saa zile zile za kila siku anakuambia 'hi honey i missed you'...anakupiga na busu wakati katoka kumegwa au kumega..sasa hapo utashuku nini?...ahahahahaha...mlioko kwenye relationship nawaonea huruma sana! Poleni...
 
Teh teh teh teh nimeipenda hiyo.
Wengine wanamega/kumegwa asubuhi ana enjoy weeeee akirudi home wewe unajua alikuwa kazini kumbe amekula kona alikuwa na buzi maeneo.
 
Teh teh teh teh nimeipenda hiyo.
Wengine wanamega/kumegwa asubuhi ana enjoy weeeee akirudi home wewe unajua alikuwa kazini kumbe amekula kona alikuwa na buzi maeneo.


yale yale ya ma colleague, anasemaga mr wake hachiti kabisa, mana anarudi home saa 11 juu ya alama, jmoc/jpili ni cku ya kupumzika home na familia,yupo free na simu ya mumewe kuanzia kusoma sms hadi kuchunguza jina gani limeongezwa leo etc, lakini angejua huyo mume anayoyafanya chini ya jua nadhani ataparalaizi, mume hajatulia hata nukta.....btw! mie nashangaaga unamwamini mtu kwa kic hicho? yani unajiona kabisa kwamba wewe ni wewe.... mie hata nikimkuta home saa 6 mchana haijanifanya nione kwamba jamaa achezi rafu......haaa
 
[/LIST]
Inategemea na idadi ya mara alizokugomea, mwingine anachoka tu na kazi nyingi za mchana si lazima kuwa anado nje.



Si lazima pengine pesa analewea au anasave kwa ajili ya future developments. Hili halina guarantee sana kuwa anacheat inawezekana pia hapati pesa ya kutosha au ana madeni nje kibao.



Frustrations pia zinawezakuchangia yeye kuwa na hasira na wewe kila mara na akajikuta kila ukifanyacho hakina uzuri so ugomvi



Hii nayo inawezakuwa inachangiwa na mengineyo kama ulevi na washkaji au kuwa workholic



Hapana Chaku wengine hulka yao, wao wakiona mwanamke hawaishii kusifia bali huweza hata kugeuka shingo but wakawa si macheater bali wanaapreciate uumbaji wa MKUU.



hapana hii pia inaweza kusababishwa na wivu tu na si kuwa anacheat

1. Nijuavyo mie kama anacheat utamgundua tu mabadiliko ya tabia ambazo mwanzo hakuwa nazo mf. namna anavyoiprotect simu yake na kwa mwanaume chatting za muda mrefu (huwa sielewi wanaume anayechat na sms muda mrefu huku akicheka mwenyewe huwa anaongelea nini na mwanaume mwenzie? lazima atakuwa anacheat tu!

2. Kuingia bafuni na simu hata akienda kujisaidia haja ndogo anaingia nayo
3. mienendo yake haieleweki anaweza akasema yuko ofcn wakati wewe unasikia muungurumo wa gari au mziki.
4. Receipts mbalimbali zinazoonyesha alikwenda mahali ambapo ukimwuliza anasema hajakwenda.


mie ndio mana ctakagi kuumiza kichwa kujua kama jamaa ana chiti au vipi, mie natakaga tu nipewe vidhibiti nivifanyie kazi, muda wa kusema namfatiia na kuwa na wac kwamba jamaa anachiti coz jana kachelewa bac leo akija napekuwa cmu yake ndio cnaga, na nikijua kama anachiti anajuaga kasheshe yake....alaaa wanaume bwana!
 
mtu anaweza asifanye hata moja kati ya uliyouliza na akawa anacheat.kuna watu siku hizi wana do mchana wakati wa lunch time..faster .....saa kumi na mbili yuko home anacheza na watoto na wewe unajiona mjanja kumbe....


Duuu.....!!
Nimecheka sana na hii comment.!
We MduduWashawasha Usitufundishe mambo tusiyoyajua bana, TUSIJE TUKAANZA KUYA PRAKTIZ!
 
Ndug zanguni ni dalili zipi unaweza kuzijua kuwa mwenzi wako kuwa anacheat au anatoka nje ya mahusiano yenu?


  • Je nikutokuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa na wewe uliye naye?
  • Je ni kwa kuwa na tabia ya kutonunua na kutoa mahitaji muhimu nyumbani kwake?
  • Je ni kwa yeye kuwa na tabia ya ugomvi usiokuwa na sababu kila kukicha?
  • Je ni kwa na tabia ya kuchelewa kurudi kila siku au mara mbili kwa wiki?
  • Je ni kwa kuwa na tabia ya kumsifia/mume/mke mwingine wakati wewe upo naye?
  • Je kwa kuwa na tabia ya kusikiliza hoja nyingi kutoka kwa marafiki zako juu ya mienendo yako?
au kuna ishara mahususi za kugundua kuwa mumeo/mkeo ancheat

Dalili zaweza kuwa nyingi tu kutegemea na aina ya mtizamaji na yule anayetizamwa (emotionally, physically and psychologically). Ni vema pia kuwa makini na namna unavyozitafsiri hizo dalili maana mara nyingi binaadamu 'tunaona kile tunachotaka kukiona' na si uhalisia.

Kimsingi hakuna ishara/dalili mahususi ambazo zinaweza kuapply kwa kila mtu (kama dalili za malaria vile, wengine huumwa kichwa, wengine joto linapanda, wengine tumbo/kuhara, wengine kuchoka nk).

Kikubwa katika ndoa ni uaminifu, kujiamini na kuaminiana. Kukosa kujiamini mara nyingi pia kunasababisha mtu kuwa na wasiwasi na mwenza wake. Kwa mfano kama mwanamkwe anadhani si mrembo wa kutosha kuendelea kumvutia mumewe ni lazima ataanza ku-act irrationally!
 
yale yale ya ma colleague, anasemaga mr wake hachiti kabisa, mana anarudi home saa 11 juu ya alama, jmoc/jpili ni cku ya kupumzika home na familia

Unajua Nyamayao siku hizi kuna kamachezo gani?
Mtu anakuwa na line 2 kama ni voda basi anazo 2 kama tiGo basi anazo 2 kwa ajili ya kuwasiliana na viburudisho vya pembeni hii nimeikuta hata kwa wanawake wengi sana wanacheza mchezo huo huwezi shtukia labda uifume hiyo line na inafichwa balaa akiwa kazini basi anaweka line hiyo kama siku hiyo ana hamu ya kumega/megwa basi watawasiliana kwa line ya pembeni na yule hawala anapewa namba ya pembeni si namba ya siku zote anayo tumia basi anajivinjali kwa raha zake asubuhi mpaka jioni kazini si anaweza singizia anaumwa au kuna msiba kumbe yupo sehemu anakula raha tu mbona utaamini mpenzi wangu ametulia saa 12 yupo nyumbani hata bar hapitii ooh tupo wote muda wote sijui nini maskini kumbe dili zinachezwa mchana au asubuhi binadamu wajanja sana cmu yake anaweza kukupa au ukachunguza na usione hata sms hata namba mpya.
 
kwa hali hii na kama haya mstyle yanatumika mungu atupe uvumilivu na upeo wa kuvumiliana katika mahusiano yetu!!
kwa maana nyingine kama watu wameweza kubuni style zote hizo basi kucheat njia mbadala ya kupunguza stressss!!!!!
 
Unajua Nyamayao siku hizi kuna kamachezo gani?
Mtu anakuwa na line 2 kama ni voda basi anazo 2 kama tiGo basi anazo 2 kwa ajili ya kuwasiliana na viburudisho vya pembeni hii nimeikuta hata kwa wanawake wengi sana wanacheza mchezo huo huwezi shtukia labda uifume hiyo line na inafichwa balaa akiwa kazini basi anaweka line hiyo kama siku hiyo ana hamu ya kumega/megwa basi watawasiliana kwa line ya pembeni na yule hawala anapewa namba ya pembeni si namba ya siku zote anayo tumia basi anajivinjali kwa raha zake asubuhi mpaka jioni kazini si anaweza singizia anaumwa au kuna msiba kumbe yupo sehemu anakula raha tu mbona utaamini mpenzi wangu ametulia saa 12 yupo nyumbani hata bar hapitii ooh tupo wote muda wote sijui nini maskini kumbe dili zinachezwa mchana au asubuhi binadamu wajanja sana cmu yake anaweza kukupa au ukachunguza na usione hata sms hata namba mpya.


na hilo ndilo wanalofanya wafanyakazi wenzangu wa kiume ofcn, wanatuonyesha mengi na kujua zaidi kuwa mwanaume ni mwanaume tu huwezi sema kuna mwanaume asie chiti kama wapo wanisamehe.....kuna wakaka kama wawili hapa ofcn wana kamchezo hao, 1 kaoa na 1 ana mchumba, huyu mwenye mchumba ndio anampaga hata cmu mchumba wake akae nayo,amsomee sms na amwambie jibu hivi na vile, mchumba anapata imani 100% na mchumba wake, hajajua yanayofanyika mchana kutwa mackini, sasa mdada kama huyu umwambie mchumba wake ana chiti atakuelewa? halafu wengi wanadhani kuchiti ni mpaka m2mie cmu kumbe wakati mwingine huko maofcn wanagaragazana na ma cleaner na wengineo....tunajionea mengi! mie cna imani na mtu ajiheshimu mwenyewe tu bwana.
 
kwa hali hii na kama haya mstyle yanatumika mungu atupe uvumilivu na upeo wa kuvumiliana katika mahusiano yetu!!
kwa maana nyingine kama watu wameweza kubuni style zote hizo basi kucheat njia mbadala ya kupunguza stressss!!!!!

ma dia hayo yanafanyika sana, yaani mie nakaaga na wakaka wa hapa ofcn na stori zao na mbinu zao mpya wanazopeana kila kukicha nachokaga kabisa....yaani mtu anaweza akakufanya mjinga mpaka bac....ukifikiria sana unakerekwa!...maana m2 anatengeneza uongo mpaka anakufanya uwe na wac pia na jamaa yako wallaah, unaona wote ni wale wale tu.
 
halafu wengi wanadhani kuchiti ni mpaka m2mie cmu kumbe wakati mwingine huko maofcn wanagaragazana na ma cleaner na wengineo....tunajionea mengi! mie cna imani na mtu ajiheshimu mwenyewe tu bwana.

Mhh..! Kipendacho roho!
 
mtu anaweza asifanye hata moja kati ya uliyouliza na akawa anacheat.kuna watu siku hizi wana do mchana wakati wa lunch time..faster .....saa kumi na mbili yuko home anacheza na watoto na wewe unajiona mjanja kumbe....

Wengine wanaenda asubuhi asubuhi, wanajifanya wanaenda kwa chai. Kumbe ..........
 
mlioko kwenye relationship nawaonea huruma sana! Poleni...[/quote]


Mkuu ina maana wewe na nyeto tu!
 
Wewe ndio unaelewa game aisee. Kuongezea tu, watu wanatiana kwenye magari, vichaka, na sehemu zingine. Na kutiana hakuchukui masaa...ni vidakika vichache tu kitu na boksi. Halafu mwenzio akirudi jioni saa zile zile za kila siku anakuambia 'hi honey i missed you'...anakupiga na busu wakati katoka kumegwa au kumega..sasa hapo utashuku nini?...ahahahahaha...mlioko kwenye relationship nawaonea huruma sana! Poleni...

Hapo sasa ndo pabaya!! Sijui inakuwaje mtu anahangaika wakati utakuta my wife wake au my husband wake yuko fit tu kwa mtazamo. Wana-do chap chap tena kwenye gari. Japo wanasema mapenzi popote lakini hii naona inakuwa tamu saaana kama ni mtu na my husband au mtu na my wife wake yaani vitu ambavyo viko kihalali.
 
ataanza visingizio vingi kama vile kuumwa, kuwa na safari za marakwamara
 
Back
Top Bottom