kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Hivi mpaka sasa mnaweza kunambia faida za chanjo?
Nauliza maana naona waliochomwa na wasiochomwa ni sawa tu maana kila wimbi nao tumo nao tu na kuugua kama sisi tu,ikitokea inafyeka nao inawafyeka tu, kiukweli nimejikuta najiuliza!
Chanjo ya covid ina faida gani?Au ina kazi nyingine?
Nauliza maana naona waliochomwa na wasiochomwa ni sawa tu maana kila wimbi nao tumo nao tu na kuugua kama sisi tu,ikitokea inafyeka nao inawafyeka tu, kiukweli nimejikuta najiuliza!
Chanjo ya covid ina faida gani?Au ina kazi nyingine?