Ni zipi faida za utaratibu huu wa kuchumbia binti bila kuongea naye?

Ni zipi faida za utaratibu huu wa kuchumbia binti bila kuongea naye?

Gluk

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
1,859
Reaction score
3,008
Habari zenu wanaJF,

Kama mjuavyo baadhi ya madhehebu hususani haya ya kipendekoste wana utaratibu wao wa kuchumbia ambao sharti uanze kwa mzee wa kanisani kumuelezea dhamira yako juu ya binti ambaye umempenda kabla hata hujaongea naye.

Sasa hapa kanisani kwetu kuna binti mmoja nimemchunguza kwa muda mrefu na nikaona kuwa ana sifa zote za kuwa mke kabisa.

Na utaratibu wa dhehebu letu ni huo. Natamani nijitose mwenyewe ila kulingana na mtoto huyu alivyo geti kali sana nahisi nitadunda je, nitumie utaratibu huu wa kanisa au niache na zipi faida za utaratibu huu kwa wale ambao wamewahi kutumia njia hii asanteni sana.

Karibuni kwa michango yenu
 
Unaanzaje kupangiwa nani wa kumuoa, huo ujima mnautoa wapi?

Sasa unaenda mwambia mzee wa kanisa, sijui mchungaji kuwa kuna mchuchu umemuelewa, then unapata huyo mchungaji naye ana mwanaye wa kiume anatafuta kumpigia pande kwa binti huyo huyo, hadi hapo si utajikuta ushakosa mchuchu!
 
kweli ila tatizo huyu mtoto ni mtu wa misimamo mikali pia geti kali balaa.
Si mnasali wote? Sasa atakukazia hata wewe mwanakondoo mwenzake?

We mfate mwambie ya moyoni huku ukishusha vifungu vya biblia, tongozo kidogo unashusha vifungu, bwana akasema..... Unaendelea hivo hivo, Mungu akutangulie mtumishi, umpate huyo Eva akupeleke Eden.
 
Si mnasali wote? Sasa atakukazia hata wewe mwanakondoo mwenzake?

We mfate mwambie ya moyoni huku ukishusha vifungu vya biblia, tongozo kidogo unashusha vifungu, bwana akasema..... Unaendelea hivo hivo, Mungu akutangulie mtumishi, umpate huyo Eva akupeleke Eden.
Yaani Wewe natamani nikuone siku Moja 😅
 
Raha ya mwanamke umtongoze mwenyewe baaana! Hata wakati unampa mikito Kuna moments unakuwa unarecall namna ulimsotea bas borl0 linavimbia kwa ndani halafu linayumba ova linataka kuchomokea kwa ndani hukohuko, ndiyo zile utaskia aaasssssSSSSSSSSSSSSssss mmmmmmmmmh!! Ukiuliza unaumiaaa? Anakwambia hapana baaba kamatia hapo hapo nakojouwaaa
 
Raha ya mwanamke umtongoze mwenyewe baaana! Hata wakati unampa mikito Kuna moments unakuwa unarecall namna ulimsotea bas borl0 linavimbia kwa ndani halafu linayumba ova linataka kuchomokea kwa ndani hukohuko, ndiyo zile utaskia aaasssssSSSSSSSSSSSSssss mmmmmmmmmh!! Ukiuliza unaumiaaa? Anakwambia hapana baaba kamatia hapo hapo nakojouwaaa
Haaaahaa umetisha mzee baba
 
Raha ya mwanamke umtongoze mwenyewe baaana! Hata wakati unampa mikito Kuna moments unakuwa unarecall namna ulimsotea bas borl0 linavimbia kwa ndani halafu linayumba ova linataka kuchomokea kwa ndani hukohuko, ndiyo zile utaskia aaasssssSSSSSSSSSSSSssss mmmmmmmmmh!! Ukiuliza unaumiaaa? Anakwambia hapana baaba kamatia hapo hapo nakojouwaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom