R ronald24 New Member Joined Aug 14, 2024 Posts 1 Reaction score 0 Aug 20, 2024 #1 Habari ndugu zanguni. Naomba kwa anayejua process yakuanzisha festival Tanzania. Nilazima niwe Na kampuni au nikupata vibali vya halmashaur tu Ya sehemu husika unapotaka kuweka Tamasha? Naomba msaada
Habari ndugu zanguni. Naomba kwa anayejua process yakuanzisha festival Tanzania. Nilazima niwe Na kampuni au nikupata vibali vya halmashaur tu Ya sehemu husika unapotaka kuweka Tamasha? Naomba msaada