Ni zipi taratibu za kununua gari kwa mtu kisheria?

Ni zipi taratibu za kununua gari kwa mtu kisheria?

AyM

Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
17
Reaction score
22
Nikitaka kununua gari, je ili niwe salama kwa habari ya umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ni mambo gani ya lazima kuyafanya kwanza kabla ya kuitumia barabarani yanayohalalisha umiliki wangu?
 
Kuna uzi umeelezea vizuri, nadhani ni RRONDO alipost kama sikosei. Ngoja niufufue ili uusome alichambua vizuri. Ila kitu muhimu hakikisha gari hiyo hidaiwi kodi na tozo nyingine.

Pili hakikisha anayekuuzia ndiyo mmiliki ili usiuziwe kitu cha wizi.

Hakikisha gari haijawahi kufanya matukio ya uhalifu (hapa polisi wanahusika).

Mwisho hakikisha mmeandikishana mahakamani au mwandishi wa umma uwe na mashihidi wa kuaminika.

Ngoja wengine waongezee
 
Nikitaka kununua gari, je ili niwe salama kwa habari ya umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ni mambo gani ya lazima kuyafanya kwanza kabla ya kuitumia barabarani yanayohalalisha umiliki wangu?
Kuna uzi umeelezea vizuri, nadhani ni RRONDO alipost kama sikosei. Ngoja niufufue ili uusome alichambua vizuri. Ila kitu muhimu hakikisha gari hiyo hidaiwi kodi na tozo nyingine.
Uzi husika ni huu
 
Back
Top Bottom