Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikitaka kununua gari, je ili niwe salama kwa habari ya umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ni mambo gani ya lazima kuyafanya kwanza kabla ya kuitumia barabarani yanayohalalisha umiliki wangu?
Uzi husika ni huuKuna uzi umeelezea vizuri, nadhani ni RRONDO alipost kama sikosei. Ngoja niufufue ili uusome alichambua vizuri. Ila kitu muhimu hakikisha gari hiyo hidaiwi kodi na tozo nyingine.