Nia nzuri ya tozo isipotoshwe na watendaji!

Nia nzuri ya tozo isipotoshwe na watendaji!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa namna yoyote ni lazima tulipe kodi au tozo ili tusimame kama nchi inayojitegemea.

Wahuni wameharibu maana nzima ya tozo au kodi kiasi cha kuzua taharuki nchini.yaani watendaji wetu wamefanya kusudi katika implimentation ya namna ya kulipisha kodi kwa kila Mtanzania.

HOJA MUHIMU
1-Kila mtanzania lazima alipie kodi...hii ni fact na haitobadilika na kamwe asije mwanasiasa wa kutudanganya juu ya hili.
2-Kodi isiwe ni mara mbili au tatu kumuumiza mwananchi(hapa watendaji watusaidie).yaani mfanyakazi kawekewa mshahara benki halafu anakatwa tena kodi wakati anatoa ,anatumia au anaituma na mpokeaji anakatwa...hii imeleta sintofahamu kwenye jamii.

3-Kodi inatumikaje haswa? Yaani tozo au kodi lazima ionekane na mwananchi wa kijijini jinsi ilivyoleta tija

4-Wahuni wa kuuza mafuta lazima wabanwe vilivyo wasije haribu nchi.

5-Mikopo na misaada lazima iende kwenye issues zenye tija,ni upuuzi kusaidiwa mabox ya condoms...rather tusaidiwe viwanda vya condoms.

Ni hayo tu kwa leo.

Kwa hisani ya mtu wa Tanzania!
 
Watanzania hawapendi kulipa kodi .ikibidi labda kwa mijeredi
 
Tumeshanunua mabasi 60. Mwakani tutanunua 120. Acheni kupiga kelele, lipeni tozo tukale bata dubai
 
Watendaji wanakomaa kubuni tozo ambazo ni rahisi kuzikusanya.

Waendesha pikipiki wenye leseni za udereva nchi hii ni wangapi?

Kwa huu utitiri wa tozo haikupaswa awepo mstaafu hata mmoja anayesotea pension yake.
 
Naogopa BAN ola kwa huu ujinga uliouandika naomba namba Yako nikutukane
 
Kodi tunalipa
Tozo tunalipa
Faini tunalipa
Ushuru tunalipa

Kikubwa endeleeni kununua vi za milion 500
Endeleeni kununua mabus ya youtong mengi mengi
Endeleeni kununua vilabu vya mpira
Endeleeni kusafir na kitalii nje kila wiki
Endeleeni kupandisha mabundle mpaka ifike la wiki tuunge kila saaa
Endeleeni endeleeni
 
Kwa namna yoyote ni lazima tulipe kodi au tozo ili tusimame kama nchi inayojitegemea.

Wahuni wameharibu maana nzima ya tozo au kodi kiasi cha kuzua taharuki nchini.yaani watendaji wetu wamefanya kusudi katika implimentation ya namna ya kulipisha kodi kwa kila mtanzania.

HOJA MUHIMU
1-Kila mtanzania lazima alipie kodi...hii ni fact na haitobadilika na kamwe asije mwanasiasa wa kutudanganya juu ya hili.
2-Kodi isiwe ni mara mbili au tatu kumuumiza mwananchi(hapa watendaji watusaidie).yaani mfanyakazi kawekewa mshahara benki halafu anakatwa tena kodi wakati anatoa ,anatumia au anaituma na mpokeaji anakatwa...hii imeleta sintofahamu kwenye jamii.

3-Kodi inatumikaje haswa?yaani tozo au kodi lazima ionekane na mwananchi wa kijijini jinsi ilivyoleta tija

4-Wahuni wa kuuza mafuta lazima wabanwe vilivyo wasije haribu nchi.

5-Mikopo na misaada lazima iende kwenye issues zenye tija,ni upuuzi kusaidiwa mabox ya condoms...rather tusaidiwe viwanda vya condoms.

ni hayo tu kwa leo...

Kwa hisani ya mtu wa Tanzania!
Wewe kweli jingalao, tozo,kodi lakini bado hata matundu ya vyoo tunasubiri hela ya uviko. Kila siku mnatembeza bakuli, hospitali dawa hakuna, hata zile huduma zilizolipiwa hazipatkani. BWEGE wewe
 

Attachments

  • 20220830_135400.jpg
    20220830_135400.jpg
    525.4 KB · Views: 5
Umeandika maelezo yakujichanganya tu.Hakuna ambaye anapinga kulipa kodi.sasa sio vyema kufananisha kodi na tozo ili kuialalisha tozo ionekane ni sawa na kodi.Liko wazi kua hizi tozo zimeanzishwa kwasababu ya mkwamo wakifedha lakini je tumefilisika kiasi hicho chakufikia kuanzishiana tozo nyingi kiasi hicho chakumkamua mwananchi maskini kwenye nchi kama hii?.
 
Hivi misafara ya viongozi inajua kuhusu ugumu wa maisha uliopo kwa wananchi?
Why double taxation kwenye huduma ile ile?
 
Back
Top Bottom