Heisenberg JF-Expert Member Joined Apr 26, 2017 Posts 1,691 Reaction score 2,967 Jul 18, 2023 #1 Wakuu ninamiliki Rav4 2006 aka Miss Tz. Baada ya kupima uchumi wangu nimegundua sina uwezo wa kununua gari ninalilipenda kwa siku za karibuni. nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku upgrade baadhi ya vitu ili liwe vizuri liendane na wakati huku siku zikisoge Je. vitu hivi naweza vipata hapa Tz kwa bei nzuri? au nitafute supplier wa Dubai au China? Roof rack hizo juu ya gari Nahitaji stearing yenye controls za Music Nahitaji android radio Tesla Style Napenda hizo Side step Rubber za kwenye vioo Taa za nyuma za LED Taa za mbele za LED Pia na udambwi dambwi Mwingine. Naombeni ushauri
Wakuu ninamiliki Rav4 2006 aka Miss Tz. Baada ya kupima uchumi wangu nimegundua sina uwezo wa kununua gari ninalilipenda kwa siku za karibuni. nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku upgrade baadhi ya vitu ili liwe vizuri liendane na wakati huku siku zikisoge Je. vitu hivi naweza vipata hapa Tz kwa bei nzuri? au nitafute supplier wa Dubai au China? Roof rack hizo juu ya gari Nahitaji stearing yenye controls za Music Nahitaji android radio Tesla Style Napenda hizo Side step Rubber za kwenye vioo Taa za nyuma za LED Taa za mbele za LED Pia na udambwi dambwi Mwingine. Naombeni ushauri
KENGE 01 JF-Expert Member Joined Mar 12, 2021 Posts 1,705 Reaction score 4,217 Jul 18, 2023 #2 Agiza Be 4wd
Heisenberg JF-Expert Member Joined Apr 26, 2017 Posts 1,691 Reaction score 2,967 Jul 18, 2023 Thread starter #3 KENGE 01 said: Agiza Be 4wd Click to expand... Hawa si wana vitu genuine used? kumbuka hivyo vyote ninavyohitaji ni after market
KENGE 01 said: Agiza Be 4wd Click to expand... Hawa si wana vitu genuine used? kumbuka hivyo vyote ninavyohitaji ni after market
desayi JF-Expert Member Joined Aug 27, 2017 Posts 3,593 Reaction score 5,848 Jul 20, 2023 #4 Agiza Dubai ni chap
muhweza JF-Expert Member Joined Feb 22, 2022 Posts 986 Reaction score 1,394 Jul 20, 2023 #5 Na mimi starlet yangu nije nifanyie unyama
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,358 Reaction score 10,976 Jul 20, 2023 #6 Agiza dubenga
Heisenberg JF-Expert Member Joined Apr 26, 2017 Posts 1,691 Reaction score 2,967 Jul 20, 2023 Thread starter #7 desayi said: Agiza Dubai ni chap Click to expand... mkuu una connection na suppliers wa dubai?
Basi Nenda JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 20,774 Reaction score 47,866 Jul 15, 2024 #8 Mkuu ulipata ? .Taa after market bei zake zikoje ?
MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,311 Reaction score 36,056 Jul 15, 2024 #9 Wewe ni msukuma?