Niagize Dubai au ninunue hapahapa Tanzania?

Heisenberg

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2017
Posts
1,691
Reaction score
2,967
Wakuu ninamiliki Rav4 2006 aka Miss Tz. Baada ya kupima uchumi wangu nimegundua sina uwezo wa kununua gari ninalilipenda kwa siku za karibuni.

nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku upgrade baadhi ya vitu ili liwe vizuri liendane na wakati huku siku zikisoge

Je. vitu hivi naweza vipata hapa Tz kwa bei nzuri? au nitafute supplier wa Dubai au China?


Roof rack hizo juu ya gari



Nahitaji stearing yenye controls za Music


Nahitaji android radio Tesla Style



Napenda hizo Side step



Rubber za kwenye vioo


Taa za nyuma za LED


Taa za mbele za LED


Pia na udambwi dambwi Mwingine.


Naombeni ushauri
 
Mkuu ulipata ? .Taa after market bei zake zikoje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…