Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Allah atakulipa.Anaonekana ostadh hapo na daftari lake kuomba ujenzi wa msikiti....kwa tathimini yangu hilo duka ni kuanzia milion 10
Anaonekana ostadh hapo na daftari lake kuomba ujenzi wa msikiti....kwa tathimini yangu hilo duka ni kuanzia milion 10
[emoji1787][emoji1787]mzee we inavoonkn ata hujawah shika milion mbili... yaan hilo duka kw kuangalia tu milion 50?Apo kwa dar ikipelea sana andaa mil50
Fakeni kabisaaaApo kwa dar ikipelea sana andaa mil50
😂Apo kwa dar ikipelea sana andaa mil50
Hapa kwenye kaofisi kangu kitaani daily wanakuja na vidaftari Vya michangoAnaonekana ostadh hapo na daftari lake kuomba ujenzi wa msikiti....kwa tathimini yangu hilo duka ni kuanzia milion 10
Ongea na mangi hapo dukani ulipopiga picha mkuuHabari wakuu,
Naomba kujua kwa wale wenye experience ya maduka ya mangi kama nitakaloliambatanisha hapo kwenye picha ,kuanzisha inahitaji mtaji wa shingapi ? Imechukua frame mbili hiyo.
Asante
View attachment 2889942
kuna wawili walinikuta dukani na yeboyebo zao nikawauliza munatokea wapi wakasema kondoa sasa fikiria kutoka kondoa hadi mtwara nauli bei gani nikawatimulia mbali wajinga waleHapa kwenye kaofisi kangu kitaani daily wanakuja na vidaftari Vya michango
Hao wakondoa walikuwa wanatafuta pesa kli wavuke boda kwenda msumbiji kuungana na wale ndugu zao magaidkuna wawili walinikuta dukani na yeboyebo zao nikawauliza munatokea wapi wakasema kondoa sasa fikiria kutoka kondoa hadi mtwara nauli bei gani nikawatimulia mbali wajinga wale
Heshima ni kitu nadra kwako. Chuki imejenga mzinga moyoni mwako. Utapata taabu sana maishaniAnaonekana ostadh hapo na daftari lake kuomba ujenzi wa msikiti....kwa tathimini yangu hilo duka ni kuanzia milion 10