niangalizieni jina la FRANK BAHATI na wlfred.n.shaktuli kama yamechaguliwa

niangalizieni jina la FRANK BAHATI na wlfred.n.shaktuli kama yamechaguliwa

Erick tryphone

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
387
Reaction score
84
Niangalizieni jina la FRANK BAHATI ambae kasoma BUKOLI na WLFRED.N.SHAKTULI ambae kasoma st karoli kama wamechaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu
 
Mbona unashindwa kujieleza kijana???tukuangalizie km wamechaguliwa kwenda jeshini?,kwenda kazini,TCU,vyuo vya ualim ?kwenda fom 5 au?????

Unashindwa hata kujieleza ukaeleweka!!!
 
Mbona unashindwa kujieleza kijana???tukuangalizie km wamechaguliwa kwenda jeshini?,kwenda kazini,TCU,vyuo vya ualim ?kwenda fom 5 au?????

Unashindwa hata kujieleza ukaeleweka!!!

Kuwa muelewa sio unakurupuka kama njiwa aliyeota mabawa jana...kijana kajieleza kwa umakini bila chenga sasa sijui yeye na wewe ni yupi hawezi kujieleza
 
We jamaa bana!
Si nimeshakuambia huyo Frank bahati hayupo?

Huyo shaktuli amepangwa Ilonga
 
Kuwa muelewa sio unakurupuka kama njiwa aliyeota mabawa jana...kijana kajieleza kwa umakini bila chenga sasa sijui yeye na wewe ni yupi hawezi kujieleza

ameedit baada ya kumsema,alisema niangalizieni majina hayo km wamechaguliwa!!hakusema kuchagiliwa kwenda wapi thats y nkamjibu hivyo,so ameamua kuedit na kujieleza kiufasaha!!sawa mkuu??
 
Kuwa muelewa sio unakurupuka kama njiwa aliyeota mabawa jana...kijana kajieleza kwa umakini bila chenga sasa sijui yeye na wewe ni yupi hawezi kujieleza

wala sikurupuki km udhaniavyo mkuu!!kijana alikua hajajieleza thats why nkamjibu hivyo!!...hiyo post yake ameiedit baada ya mm kumshambulia!! Post yake ilikua ni sawa na title yake!!!!sawa kijana????
 
Back
Top Bottom