Nianzaje kumkumbushia deni langu huyu dada!

kuna vitu usipoweza kujisimamia ndo unaenda mpaka ktk maisha yako! Kwanza ulipaswa uwe umeshamdai kujua kulikoni kimya kosa la kwanza. . Mana mi mwenyewe sidai ovyo lakini muda mrefu ukipita lazima nijiulize na kuuliza! Pili kosa lingine ni ilo la kujiuliza kumpa i mean how? Why? Jamani sipendi kabisa mtu ambae hana uaminifu na kusimamia ahadi! Yani ya mwanzo haina maelezo then unaomba nyingine? Sikupi ili ujifunze nidhamu nyie mnaosema ampe kiasi tabia zingine zinaongeza uharibifu kwa tabia za watu uyo anahitaji a lesson. . Kama alikosa alipaswa awe anatoa updates then hapo ningeweza kumsaidia kwa uangalifu sasa!
 
Sidayake mikasi huyo mpigenao mumalizane mana hatokulipa tena.
 
Imetokea ya aina yake huko kanda ya ziwa. Dada mmoja kaomba lifti kwa mkaka mmoja mtanashati mwenye prado kwamba anaomba lift kwenda mjini. Huyo mkaka alipofika mahali anapokwenda dukani kwake, akamwambia yule mdada anaishia hapo hivyo ashuke. Yule mdada akang'aka kwamba kwani hapo ndiyo kwenye ATM? Akamwambie mbon sikuelewi? bo kwani kazi yote niliyofanya usiku kucha tukakubaliana laki na nusu unajifanya kusahau ati. Ukawa mzozo. Mjini hakuna dogo watu wakazonga kutakujua kuna nini? Ndipo wenye busara wakambie aampe hata kidogo ili asepe vinginevyo atazidi kujiabisha tu. Jamaa akatoa laki kwa shingo upande demu akasepa.
 

pole sana mazingira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…