Nianze vip na 1M(million moja)

Nianze vip na 1M(million moja)

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Nimejichanga huku na kule nimepata millioni moja mkononi, plan yang ni kufanya biashara ila sijajua biashara gani itanilipa vizuri. Napatikana Kibaha Mjini, nakaribisha maoni na ushauri pia juu ya aina ya biashara itakayo nitoa. Umri miaka24 (muhitimu wa shahada yakwanza ya ualimu elimu maalum).

Note: Sihitaji kufanya temporary teaching, kwan hainilipi ingawa ni mwalimu wa Mathematics
 
Back
Top Bottom