Nianze vp kumwambia mchumba wangu..!?

Nianze vp kumwambia mchumba wangu..!?

Bashiru Juma

New Member
Joined
Jan 6, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Nimezaa na mdada ambaye kiukweli ckuwa na wala cna malengo naye kimaisha, cwezi sema ni bahati mbaya no! Ila nihali ambayo unapofanya ni kama hujitambui vile.ishu nikwamba naishi mbali na mchumba wangu kwa sa7bu ambazo ziko nje ya uwezo, mi nafanyakazi sehemu nyingine na yy ansoma sehm nyingine xo matarajio ni kwamba amalize kuxoma ndo tufanye marriage. Nampenda mchumba wangu, hoja ni kwamba nataanzaje kumwambia kwamba eti nina mtoto....!! Nahitaji ushauri wenu waungwana.
 
Muoe uliyezaa nae.. Usiwe selfish ndugu yangu, unajua ukizaa na mwanamke unampunguzia market yake ya kuolewa.. Sasa ni bora umuoe yeye kuliko kumletea stress za kukosa mwenza maishani..

Binafsi ninaamini mpaka umemzalisha kuna feelings ilikuwepo kwako japokuwa ni ndogo au imepotea sasa, jitahidi uirudishe umuoe tena
 
ah mwana bora useme mapema kabisaaa kuwa una mtoto bana...kuwa mkweli.

alafu wee kijana ebu kuwa makini na hii mambo ya long distance relationship...atagegedwa huko chuo weye oh!!
 
Nimezaa na mdada
ambaye kiukweli ckuwa na wala cna malengo naye kimaisha, cwezi sema ni
bahati mbaya no! Ila nihali ambayo unapofanya ni kama hujitambui
vile.ishu nikwamba naishi mbali na mchumba wangu kwa sa7bu ambazo ziko
nje ya uwezo, mi nafanyakazi sehemu nyingine na yy ansoma sehm nyingine
xo matarajio ni kwamba amalize kuxoma ndo tufanye marriage. Nampenda
mchumba wangu, hoja ni kwamba nataanzaje kumwambia kwamba eti nina
mtoto....!! Nahitaji ushauri wenu waungwana.


Kuwa muwazi kwake lazima ukubali matokeo baada ya kumueleza
 
very simple dogo,just tell her the truth about ur ex-child and be excuse to her,tena mwambie mkiwa katika mazingira yenye utulivu na amani ya hali ya juu,usisahau kumweleza hisia zako za dhati kwake nafikiri atakuelewa,ila kwa yule uliyemzalisha ni inshu kama anakupenda kuna siku yatakukuta usiyoyatarajia na utajuta kuwepo hapa duniani:israel:
 
Back
Top Bottom