Nianzie wapi kumwambia kuwa GF sio mwaminifu?

nakuunga miguu na mikono...............tawire babaa
 

hapo nimekubali mkuu. Dawa nimlengeshe. Ila sasa sijui atakuwa anakuja lini na wakati gani, mana mi kukutana nae hapo ni koisidens ya muda ndo mana namkutaga. Labda tuende hapo daily kuvizia.
 
hapo nimekubali mkuu. Dawa nimlengeshe. Ila sasa sijui atakuwa anakuja lini na wakati gani, mana mi kukutana nae hapo ni koisidens ya muda ndo mana namkutaga. Labda tuende hapo daily kuvizia.


Mkuu subira yavuta heri we kama umepanga jipange kufanikisha usiishie njiani mkuu
 


Mkuu i'm sorry nipo nje ya mada kimtindo....hiyo GPS locator inategemea aina za simu?halafu locater yenyewe itakuwa inaonyesha direction tu alipo?au mpaka unapompigina ndo inaonyesha mana kuna mazingira may be akazima simu
 
nakuunga miguu na mikono...............tawire babaa

jamaa katoa ushauri mzuri, ila sasa tatizo ni kujua demu anakujaga lini, kama mshkaji wangu angekuwa mwelewa, ningemwambia hii plan ili tuiweke pamoja.
Lakini mimi peke yangu kuiweka. Itabidi tuende hapo daily kuvizia, ambayo ni ngumu kufanya.
 
Mkuu i'm sorry nipo nje ya mada kimtindo....hiyo GPS locator inategemea aina za simu?halafu locater yenyewe itakuwa inaonyesha direction tu alipo?au mpaka unapompigina ndo inaonyesha mana kuna mazingira may be akazima simu

kumwambia amwekee hii GPS locater, si ataniuliza kwanini tumewekee?umewaza nini mpaka unambie nimuwekee gps demu wangu.
Kwa kweli kama ni ubishi mi huwa simwezi, mana msukuma yule ni mbishi kupita maelezo yani.
 
Mkuu i'm sorry nipo nje ya mada kimtindo....hiyo GPS locator inategemea aina za simu?halafu locater yenyewe itakuwa inaonyesha direction tu alipo?au mpaka unapompigina ndo inaonyesha mana kuna mazingira may be akazima simu
GPS locator ukiwa unampigia simu inaonyesha exactly at that point in time yuko wapi, its works with Nokia, Blackberry Samsung, Iphone
 
Dah!! Kama jamaa yako ni mbishi basi bora kumuacha labda akigundua ambapo itakuwa too late labda ndio ataelewa
 
kama keshakuona na bado anakuja hapo, anakutaka huyo. mzingue kiutani uone kama hatakupa penzi ili uendelee kuficha siri
 
kama keshakuona na bado anakuja hapo, anakutaka huyo. mzingue kiutani uone kama hatakupa penzi ili uendelee kuficha siri

aisee mshkaji tunaheshimiana sana. Hata kwa utani siwezi gongea gemu kwa demu wake.
 
Dah!! Kama jamaa yako ni mbishi basi bora kumuacha labda akigundua ambapo itakuwa too late labda ndio ataelewa

mi nadhani dawa ni kumpiga picha kwa siri akiwa na demu wake akiwa na huyo mshkaji anaye mmegaga kwasiri, afu nimtumie kwa posta jamaa angu, nimwambie watch your girl.
Otherwise jamaa atamvisha pete, desemba ni kesho kutwa tu.
 
unaweza fikiri unamsaidia rafiki
ukajikuta unasutwa na heshima yako inashuka

ukishindwa kaa kimyaa tu
 
GPS zinapatikana wapi mdau naiataji niwe namtrap m2 wangu maeneo yake
 
mchukue rafiki yako hapo mara kadhaa mpaka amfumanie demu mwenyewe
 
yaani ndo hivo,unaenda kumwambia live baadaye unakuta wakipatana unaonekana we mbea na mnafiki halafu wote wanakuwa adui zako

sometime unaweza ukaamua kumwambia live kumbe jamaa anaujua ukweli au jamaa yako ndo mwizi hapo itakuwaje??
 
Mbona easy we siku ukiwa hapo na wanaingia lodge we mpigie jamaa akukute hapo,hakikisha amuondoki hadi demu atoke room
Shida itakuja iwapo huwa wanalala hadi liamba
 
Kama kweli jamaa ni rafiki yako wa dhati mwambie A to Z bila kumumunya maneno aisee!Unaposimama kwenye ukweli usifikirie matokeo yake,vinginevyo urafiki wenu ni wamashaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…