bikira mimi
Member
- Feb 15, 2013
- 24
- 11
Nasoma mwaka wa pili katka chuo kikuu kimoja hapa Mwanza na pia nanufaika na mkopo kutoka HESLB.
Je kwa kutumia pesa za mkopo ambazo ni 450,000 kila baada ya miezi miwili naweza kuanzisha mtaji gani au biashara?
Je kwa kutumia pesa za mkopo ambazo ni 450,000 kila baada ya miezi miwili naweza kuanzisha mtaji gani au biashara?