Msimulia mvua imemnyea.punguza ganja, nilivyoona hii habarinikashituka kidogo, kumbe ni ushabiki!
yanga wetu tu mkuu, hata tukikuweka wewe na kitambi chako golini badala ya kaseja! Tutawatungua tu!wakati umati umejazana uwanja wa taifa kusubiri mpambano wa simba na yanga habari zilizotufikia punde zinasemaklabu ya simba imetangaza kutoingiza timu ile iliokuwa ikicheza na kuapa kuchezesha timu iliokamilikatofauti na wakati wakicheza na timu nyingine msemaji wa taarifa anasema simba imejipanga kweli baada ya kuhofu kupanga kikosi cha dharau na hivyokuweka mazingira tatanishikazi ipo kidumu simba
Duuuh PDidy nilifikiri Simba imegoma kupeleka timu kumbe ni kuhusu kikosi gani kitaingia uwanjani! Simba au Yanga nakuthibitishia hakuna timu itakoyoingiza kikosi mtori kabisa na mechi itkauwa ngumu.Wakati umati umejazana uwanja wa taifa kusubiri mpambano wa simba na yanga habari zilizotufikia punde zinasema
klabu ya simba imetangaza kutoingiza timu ile iliokuwa ikicheza na kuapa kuchezesha timu iliokamilika
tofauti na wakati wakicheza na timu nyingine
msemaji wa taarifa anasema simba imejipanga kweli baada ya kuhofu kupanga kikosi cha dharau na hivyo
kuweka mazingira tatanishi
kazi ipo
kidumu simba
Hii ndio dawa yenu Simba