Nibebe nibebe nibembeleze nibebe mkononi mwako nifike salama!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wakati umati umejazana uwanja wa taifa kusubiri mpambano wa simba na yanga habari zilizotufikia punde zinasema
klabu ya simba imetangaza kutoingiza timu ile iliokuwa ikicheza na kuapa kuchezesha timu iliokamilika
tofauti na wakati wakicheza na timu nyingine
msemaji wa taarifa anasema simba imejipanga kweli baada ya kuhofu kupanga kikosi cha dharau na hivyo
kuweka mazingira tatanishi
kazi ipo

kidumu simba
 
.........Na wamesema kama vipi wacheze peku.
 
naskia wanajiharishia tuuu kwa woga mnyama bana keshazoea kuwinda sungura sasa leo kakutana kizingiti sharubu zinapukutika tuu
 
yanga wetu tu mkuu, hata tukikuweka wewe na kitambi chako golini badala ya kaseja! Tutawatungua tu!
 
Duuuh PDidy nilifikiri Simba imegoma kupeleka timu kumbe ni kuhusu kikosi gani kitaingia uwanjani! Simba au Yanga nakuthibitishia hakuna timu itakoyoingiza kikosi mtori kabisa na mechi itkauwa ngumu.
 
Ushabiki mwingine bana! Nilidhani kweli...
 
nibebe nibebe nibembeleze nibebe mkononi mwako nifike salama

[h=2]
[/h]
 
Hivi mbona yanga wanakuwa identified na malapa!??
 
Oh! mara Yanga wanabebwa, Mara ....Poleni sana tukutane kwenye ligi na kichapo kinawangoja
 
Mshapakatwa!!!!!!!!!!!! Ukiona manyoyaaaaaaaaaaaaaaaaa ujue..............
 
Mkome kujisifu aibu ya mwaka na hamtaisahau yanga mwaka huu mpaka mmezimia hahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…