Niboreshee wazo langu

Niboreshee wazo langu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Napoishi ni karibu sana na beach ya bahari ya hindi almost mita 300 hivi pia ni karibu na chuo cha afya chenye wanafunzi kama 1000..sasa nimeona kuliko kukaa tu nyumbani au kwenda kunywa pombe kwenye ma bar na mwisho kugombana na watu nimepanga baada ya kutoka ofisini saa tisa na nusu niwe naenda kushinda beach na shemeji yenu mpaka saa 1 jioni ndo tunarudi home kupika na kulala.
Na Sio kukaa tu beach bali pia kufanya mazoezi na kuogelea hapohapo ninataka pia kuanzisha ka meza cha biashara maana hawaruhusu kujenga kibanda pande za beach wamepahifadhi wanataka labda kameza temporary cha kuweka na kuondoka nacho na uzuri hamna anayefanya bishara yoyote sina mshindani maana hawana mazoea hayo ya kufanya miradi mimi ndo nitakuwa wa kwanza nataka niuze culture za kuvaa,vitu vya urembo,karanga,pipi,chocolate na vingine vidogovidogo vya kubebeka kwenye begi ambavyo ningependa UNISHAURI vya kuongezea vinavyopendwa na watu hasa wanafunzi kwa mazingira ya beach..pia labda na kukodisha vifaa vya kuogolea kama mapira,nguo za kuogelea ,miwani n.k...pombe na sigara shemeji yenu ananiambie nisiweke kwani nitaweza kuvimaliza mwenyewe na pia ikionekana wanafunzi wanakunywa na kuvuta kwangu huenda nikapigwa fitina nikazuiwa nisiueze maeneo hayo.idea ndo hiyo nakuwa na enjoy mwenzenu kuogelea si mnajua ilivyo raha huku naokota okota vi mia mbili..mnaonaje wakuu hilo wazo
 
wazo zuri, cha kuongezea tu, usiende na shemeji yetu maeneo hayo mara kwa mara, utawehuka
Mradi huo namuwekea yeye mimi niko busy na kuogelea na kufanya mazoezi ...ni wa kwake..sema tu nikisafiri afunge asiende akae nyumbani wasije wakambeba juu kwa juu
 
Fanya uweke na juice na bites kadhaa..... muhimu pia kuwa na camera pamoja na camera man ili uuwauzie na softcopy za picha PILI ili mamlka zisikubane sana make sure kila jmos unahamasisha wanakijiji ufanye beach monitoring.
 
Fanya uweke na juice na bites kadhaa..... muhimu pia kuwa na camera pamoja na camera man ili uuwauzie na softcopy za picha PILI ili mamlka zisikubane sana make sure kila jmos unahamasisha wanakijiji ufanye beach monitoring.
Shukrani sana sana mkuu
 
Napoishi ni karibu sana na beach ya bahari ya hindi almost mita 300 hivi pia ni karibu na chuo cha afya chenye wanafunzi kama 1000..sasa nimeona kuliko kukaa tu nyumbani au kwenda kunywa pombe kwenye ma bar na mwisho kugombana na watu nimepanga baada ya kutoka ofisini saa tisa na nusu niwe naenda kushinda beach na shemeji yenu mpaka saa 1 jioni ndo tunarudi home kupika na kulala.
Na Sio kukaa tu beach bali pia kufanya mazoezi na kuogelea hapohapo ninataka pia kuanzisha ka meza cha biashara maana hawaruhusu kujenga kibanda pande za beach wamepahifadhi wanataka labda kameza temporary cha kuweka na kuondoka nacho na uzuri hamna anayefanya bishara yoyote sina mshindani maana hawana mazoea hayo ya kufanya miradi mimi ndo nitakuwa wa kwanza nataka niuze culture za kuvaa,vitu vya urembo,karanga,pipi,chocolate na vingine vidogovidogo vya kubebeka kwenye begi ambavyo ningependa UNISHAURI vya kuongezea vinavyopendwa na watu hasa wanafunzi kwa mazingira ya beach..pia labda na kukodisha vifaa vya kuogolea kama mapira,nguo za kuogelea ,miwani n.k...pombe na sigara shemeji yenu ananiambie nisiweke kwani nitaweza kuvimaliza mwenyewe na pia ikionekana wanafunzi wanakunywa na kuvuta kwangu huenda nikapigwa fitina nikazuiwa nisiueze maeneo hayo.idea ndo hiyo nakuwa na enjoy mwenzenu kuogelea si mnajua ilivyo raha huku naokota okota vi mia mbili..mnaonaje wakuu hilo wazo
ndoa yako itavunjika
 
Back
Top Bottom