Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Ist mafuta inanusa...Subaru impreza mafuta inakula
Wakuu kwema
Nataka kuvuta mchuma kati ya Subaru Impreza na ist naombeni ushauli wenu juu ya hayo magari ili nifanye chaguzi sahihi
Subaru impreza ni gari nzuri, iko fasta hasa katika long safari. Pia ni sport car, na inatulia barabarani. Shida ni pale utaitaji spare parts, kidogo bei imechangamka na sio nyingi kivile. Ila utazipata.Wakuu kwema
Nataka kuvuta mchuma kati ya Subaru Impreza na ist naombeni ushauli wenu juu ya hayo magari ili nifanye chaguzi sahihi
Subaru Impreza naipenda ila naona kama Ground Clearance yake iko chini sana, kwa hizi barabara zetu si shida sana?Subaru impreza ni gari nzuri, iko fasta hasa katika long safari. Pia ni sport car, na inatulia barabarani. Shida ni pale utaitaji spare parts, kidogo bei imechangamka na sio nyingi kivile. Ila utazipata...
Subaru Impreza naipenda ila naona kama Ground Clearance yake iko chini sana, kwa hizi barabara zetu si shida sana?
Yeah ground clearance iko chini na bumper zake za mbele ni ndefu (hazina approach angle nzuri). Kwa hiyo kwa hizi njia zetu lazima ukubali yafuatayo:-
1. Kubali kuwa ni gari ya chini kama zilivyo BMW Sries 3, Benz, Crown etc. So kuwa makini
2. Ufunge rim na tairi kubwa kidogo
3. Ufunge coil ndefu au heavy duty (ila gari itakuwa na stiff ride)
4. Ufunge spacer (mi bunafsi huwa sipendi hii option ambayo ndo rahisi kuliko zote)
Gari la taifa...Wabongo kwa IST utawaambia nini
Kama ipo chini si unainyanyua mjomba?Subaru Impreza naipenda ila naona kama Ground Clearance yake iko chini sana, kwa hizi barabara zetu si shida sana?
Kama ipo chini si unainyanyua mjomba?
Basi ni hivi mdau ni either ununue gari ilioinuka cross over au SUV au iliochini (saloon) hapo hauna optionKunyanyua siyo option nzuri sana, ni rahisi sana gari kupoteza stability na comfortability
Basi ni hivi mdau ni either ununue gari ilioinuka cross over au SUV au iliochini (saloon) hapo hauna option
Dar njia nyingi ni za Lami, gari haichoki haraka uvunguni wala kwenye bumper lenyewe, labda uwe rough uligonge gonge hovyo.Kama anaweza kuishi na hizi changamoto anunue tu, siyo kwamba atashindwa kutumia kabisa. Naona wengi tu hasa dar hapa wananunua tu magari ya chini kama crown na nyinginezo na wako comfortable tu. Kuna gari nyingi tu ziko chini kuliko Impreza. Binafsi zinanipa shida kiasi na ilichangia mi kuiuza