Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upcountry si volts ndiyo itafaa maana kidogo iko juu,Nipo upcountry then nina family ya two kids
Go for Voltz then, kama ipo vizuri kimakenika...Nipo upcountry then nina family ya two kids
100%Ukiona mtu anatafuta gari mkononi kwa mtu basi pesa yake ni ya kuunga unga sasa ngoja nikushauri ili usijekwama hata kulipa ada ya watoto wako wawili!! ni hivi..Achana nazo gari zote hizo pichani tafuta IST ni ngumu na economy na inatengenezeka kirahisi.. au tafuta premeo au carina ni gari common na mafundi wengi wanazijua vizuri hutopata shida ya servicing.. tena hiiyo brevis ndio jini mnyonya damu usijaribu kabisaa
Chukua VOLTZ mkuu bonge ya gari
Mnaosema Voltz ni gari nzuri mnatumia vigezo gani?!?! Maana Toyota walishaacha kuyatengeneza mwanzoni mwa miaka ya 2000!!!Go for Voltz then, kama ipo vizuri kimakenika...
Mnaosema Voltz ni gari nzuri mnatumia vigezo gani?!?! Maana Toyota walishaacha kuyatengeneza mwanzoni mwa miaka ya 2000!!!
Anyway, according to Kidukulilo hayo sio magari, ni takataka flani hivi
Mnaosema Voltz ni gari nzuri mnatumia vigezo gani?!?! Maana Toyota walishaacha kuyatengeneza mwanzoni mwa miaka ya 2000!!!
Anyway, according to Kidukulilo hayo sio magari, ni takataka flani hivi
Teh...kumbe mfurahisha genge?
Nilitaka kushangaa tajiri gani anashinda mitandaoni[emoji848]
Mkuu kama ni gari yako ya kwanza chukua passo ila hakikisha ni pistoni nne haya ya pistoni tatu mimba sana. Iyo passo kwa kuwa ni gari ya kwanza uta enjoy kwenye ishu ya mafuta
Maendeleo hayana chama mkuuSamahani kwa kutoka nje ya mada....wewe ni KE au ni ME
Ni kweli mkuu....funguka basi hapa...Maendeleo hayana chama mkuu