Kama Abdallah kumuita DullaAllex na runx si ndugu tuu, bali ni kitu kile kile kimoja. Yaani ni gari ile ile tuu, majina yalitofautishwa kwa sababu ya masoko
Ni sawa na wewe uwe na jina la nyumbani na jina la shule
Jamaa kaacha kuzungumzia sababu zingine kawaza msiba!!Kwamba huo msiba wa Tukuyu ama Bariadi au Kondoa Runx Alex na Voltz hazitamudu kwenda na kurudi? zinaenda paso itakuwa mbavu nene kama voltz?
[emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa kaacha kuzungumzia sababu zingine kawaza msiba!!
Aisee.
Ni ya mwaka gani chief, mimi zinanichanganya na nataka niagize.sahihi mkuu..hii spacio new model ni gari zur sana, sijawahi kujuta kulinunua
Habari chief!Ushauri wangu achana na IST achana na RunX nenda kwa Spacio Newmodel utapata faida hizi.
Moja: ina nafasi ya kutosha ndani na boot kubwa ambalo unapata 2 child seat.
Mbili: engine yake ni kama IST maana zipo za 1490 cc lakin zipo za 1790cc.
Tatu: ni gari ngumu sana na inahimili mikiki maana ni tolea la Corola.
Nne: Ground clearance iko vizur ingawa zipo zingine zipo chini kidogo lakin zina nyanyuliwa na zinavutia.
Pia hata kimuonekano sio mbaya.
Ipoa ya 2005 na 2006 ziko poaHabari chief!
Spacio New Model ya mwaka gani ambayo iko vema kwa Cc 1490?
2005 ndio new model?[emoji23][emoji23][emoji23]Ipoa ya 2005 na 2006 ziko poa
Imara kwenye nini?Ist ni imara zaid kuliko runx
ina maana ist ina nafasi ya mtu mmoja tu?dereva tu.?kama ana umbo kama la Piere Likwid au Dora na kama kweli hatobeba abiria hata iwe baba/mama/mke/mume/mtoto n.k basi achukue IST ila kama ana umbo la kawaida na kuwa ipo siku atabeba mtu mwingine basi aachane na IST