Nichukue monitor ipi hapo? Budget iko tight kinoma

Nichukue monitor ipi hapo? Budget iko tight kinoma

Jentelomeni

Member
Joined
Aug 21, 2023
Posts
11
Reaction score
64
Habari ya wakati huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why inch 24 inauzwa bei kitonga alafu inch 22 inauzwa bei juu je tofauti ni hiyo frameless au kuna technology nyingine inazo hiyo Lenovo kwenye Hp hamna
Screenshot_20241218_002014_Gallery.jpg
Screenshot_20241218_002136_Instagram.jpg
 
Habari ya usiku huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why inch 24 inauzwa bei kitonga alafu inch 22 inauzwa bei juu je tofauti ni hiyo frameless au kuna technology nyingine inazo hiyo Lenovo kwenye Hp hamnaView attachment 3179245View attachment 3179246
Anayetumia hapa ni nani ni sisi au wewe?
 
Habari ya usiku huu wakuu kuna jambo linanitatiza hapa hii Hp 24 inch nataka kuuziwa 130k na hii lenovo 22 inch nauziwa 180k mimi na ubahili wangu nataka kupita na hii Hp ya 130k ila nahofu why inch 24 inauzwa bei kitonga alafu inch 22 inauzwa bei juu je tofauti ni hiyo frameless au kuna technology nyingine inazo hiyo Lenovo kwenye Hp hamnaView attachment 3179245View attachment 3179246
For some reasons hapa kwetu bongo kinacho determine bei ya Monitor ni uzuri, 99% bei ya hio lenovo ipo juu sababu ni frameless, kama unatumia multi monitor sawa inaweza make sense ku prioritize frameless otherwise angalia tu specs nyengine.

Kitu ambacho nakiona kwenye Lenovo ni ips na backlit yake ni w-led itakusaidia kama unaangalia monitor kwa upande, ips in view angle nzuri zaidi.

Otherwise kwa kazi za kawaida hasa ku browse Na kazi za kiofisi HP ipo vizuri zaidi. Hio HP aspect ratio ni 16:10 sio 16:9 ina ka urefu fulani, huwa 16:10 ni compromise nzuri ku access content zote za 16:9 na 4:3, hio Lenovo aspect ratio yake ni nzuri kwa entertainment vitu kama Movies, games etc.
 
Back
Top Bottom