Janeth Thomson Mwambije
Member
- Apr 11, 2024
- 24
- 55
Nichukue Nafasi Hii Kuwakaribisha Wananchi Walio Ndani na Nje Ya Nchi, Kuendelea Kujiunga Na Chama Cha Mapinduzi
Kuna Faida Kuwa Chama Cha Mapinduzi…
Miongoni Mwa Faida Hizo, Ni;
Unawezaje Kujiunga Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi???
- Fika Ofisi Ya Chama Cha Mapinduzi Iliyopo Karibu Nawe. Kisha Utaongozwa Kwa KATIBU wa Tawi Unalotokea.... Na Chini Ya KATIBU Tawi, Utaweza Kuandikishwa na Kupatiwa Kadi Ya Uanachama Hai wa Chama Cha Mapinduzi. Ambayo Ada Yetu Ya Uanachama Ni Shilingi 100/= Tshs Tu Kwa Mwezi, Na Kadi Ni Shilingi 300/=Tshs Tu!
- Lakini Pia, Ukipata Kadi Yako, Utaweza Kujisajili Kidijitali, Na Kupata Kadi Yako Ya Kidijitali Na Kuwa Mwanachama wa Kidijitali 📌
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI 🔰
Karibuni SANA ✍️
#KAZI
IENDELEE 🇹🇿
Kuna Faida Kuwa Chama Cha Mapinduzi…
Miongoni Mwa Faida Hizo, Ni;
- Kukujenga Kuwa Na Uwezo wa Kujiamini
- Kukusaidia Kuongeza Ujuzi wa Akili na Vitendo, Kuhusu Mambo Mbalimbali
- Kukunoa/Kukuoka Kuwa Kiongozi
- Kukuunganisha Na Watu Mbalimbali Kutoka Sehemu Mbalimbali
- Kukuweka Karibu na Fursa Za Kimaendeleo
- Kukusaidia Kukuza Uzoefu Wako
Unawezaje Kujiunga Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi???
- Fika Ofisi Ya Chama Cha Mapinduzi Iliyopo Karibu Nawe. Kisha Utaongozwa Kwa KATIBU wa Tawi Unalotokea.... Na Chini Ya KATIBU Tawi, Utaweza Kuandikishwa na Kupatiwa Kadi Ya Uanachama Hai wa Chama Cha Mapinduzi. Ambayo Ada Yetu Ya Uanachama Ni Shilingi 100/= Tshs Tu Kwa Mwezi, Na Kadi Ni Shilingi 300/=Tshs Tu!
- Lakini Pia, Ukipata Kadi Yako, Utaweza Kujisajili Kidijitali, Na Kupata Kadi Yako Ya Kidijitali Na Kuwa Mwanachama wa Kidijitali 📌
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI 🔰
Karibuni SANA ✍️
#KAZI