hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Msanii au rapper maarufu duniani Kwa jina la Nick minaji amegoma yeye na familia yake kupatiwa chanjo ya Korona.
Source: Twitter.
Source: Twitter.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mpumbavu kweli ...unataka kusema wewe unauelewa zaidi kuliko mtu ambaye yupo jikoni anayejua mambo chungu nzima ya nchi yake?!!!...kama umechanjwa wewe subiri mavuno yako after 7 years ...unamkasirikia mtu ambaye hataki kuamuliwa hatma ya maisha yakeAnaogopa chanjo lakini haopgopi ma-PLASTIC SURGERY.
Siasa za kipumbavu na kutafuta kiki na attention.
Mwamba huyu si kaamua yeye au unataka ulichofanya wewe akuige kisa umedungwa sindano!.Anaogopa chanjo lakini haopgopi ma-PLASTIC SURGERY.
Siasa za kipumbavu na kutafuta kiki na attention.