Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Mwimbaji wa miziki ya miondoko ya Hip Hop, Nick Minaj amewashangaza mashabiki wake hapo jana baada ya kutangaza kuwa anastaafu biashara ya Muziki ili aweze kuanzisha familia
Minaj (36) ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, japokuwa hajawahi kutoa taarifa yoyote kama ni mjamzito au ameshaolewa
Mwezi Juni 2019, alisema kuwa ana mpango wa kuoana na mpenzi wake, Kenneth "Zoo" Petty na mwezi Agosti 2019 alibadilisha jina analotumia Twitter kuwa Mrs. Petty ila hajawahi kuzungumza kama tayari wameshaoana ama la
Minaj aliyeanza safari yake ya Muziki miaka 10 iliyopita ameshinda tuzo sita za ‘American Music’ na pia ameshawahi kuwa mmoja wa watu katika orodha ya Watu 100 inayotolewa na Time mwaka 2016 ya Watu wenye ushawishi duniani
***********
Rapper Nicki Minaj took fans by surprise on Thursday with an announcement that she was retiring from the music business to "have my family."
Minaj, 36, gave the news to her 20 million Twitter followers, although she had not previously said she was either pregnant or married.
Minaj said in June that she planned to marry boyfriend Kenneth "Zoo" Petty, and in August she changed her Twitter name to Mrs.Petty but did not say whether a wedding had taken place.
The "Starships" singer burst onto the music scene 10 years ago with her first album "Pink Friday" and is known for her outspoken comments, feuds with other singers, colorful wigs and alter egos.
One of only a handful of female rappers, she won six American Music Awards, became a controversial judge on "American Idol" and was included on 2016 Time 100 list of the most influential people in the world.
Minaj (36) ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, japokuwa hajawahi kutoa taarifa yoyote kama ni mjamzito au ameshaolewa
Mwezi Juni 2019, alisema kuwa ana mpango wa kuoana na mpenzi wake, Kenneth "Zoo" Petty na mwezi Agosti 2019 alibadilisha jina analotumia Twitter kuwa Mrs. Petty ila hajawahi kuzungumza kama tayari wameshaoana ama la
Minaj aliyeanza safari yake ya Muziki miaka 10 iliyopita ameshinda tuzo sita za ‘American Music’ na pia ameshawahi kuwa mmoja wa watu katika orodha ya Watu 100 inayotolewa na Time mwaka 2016 ya Watu wenye ushawishi duniani
***********
Rapper Nicki Minaj took fans by surprise on Thursday with an announcement that she was retiring from the music business to "have my family."
Minaj, 36, gave the news to her 20 million Twitter followers, although she had not previously said she was either pregnant or married.
Minaj said in June that she planned to marry boyfriend Kenneth "Zoo" Petty, and in August she changed her Twitter name to Mrs.Petty but did not say whether a wedding had taken place.
The "Starships" singer burst onto the music scene 10 years ago with her first album "Pink Friday" and is known for her outspoken comments, feuds with other singers, colorful wigs and alter egos.
One of only a handful of female rappers, she won six American Music Awards, became a controversial judge on "American Idol" and was included on 2016 Time 100 list of the most influential people in the world.