Ningekataa mkuu.
nikki wa pili?hivi mnatumia vigezo gani kumlinganisha Nick na Card B?
Hapana ni Nikki Mbishinikki wa pili?
Plastic tupu yule.hivi ni wa plastic ule!?..maana lile shuzi acha tu,nasikia kuna uhindi mule,u latino,uafrika
Mwili wote wa plastic ataanzishaje Familia?
Wasanii wa mbele wanafanya sana P.S.Hata Beyonce ameweka sana plastic surgery hususani usoni
Ndiyomaana ukijiuliza kwanini hayazeeki lakini nadhani huwa wako makini sana mara kwa mara kucheki afya zao kwa madaktari waoWasanii wa mbele wanafanya sana P.S.
Cardi B ni habari nyingine mfuatilie vizuri utajua kuwa amefanikiwa kuizima nyota ya NICKI MINAJ ambaye nyimbo zake hata haziwiki sana kama zamani.hivi mnatumia vigezo gani kumlinganisha Nick na Card B?
Cardi B ni habari nyingine mfuatilie vizuri utajua kuwa amefanikiwa kuizima nyota ya NICKI MINAJ ambaye nyimbo zake hata haziwiki sana kama zamani.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nick amestaafu muziki siku chache baada ya kifo cha Mugabe. Inasemekana mtunzi wa Nick alikua Comrade Robert Gabriel Mugabe.
Ungeandika tu kiswahiliSo far, it's a wise decision , i dont see no problem on that, some else will rise up and grab the queen hiphop crown , she is wearing , eventually she will be completely forgotten . I hope she going to be the better mother to her children , Asante .
Muziki Huwezi Kuimba Muda Wote !Cardi B ni habari nyingine mfuatilie vizuri utajua kuwa amefanikiwa kuizima nyota ya NICKI MINAJ ambaye nyimbo zake hata haziwiki sana kama zamani.
kwamba hujaelewa au ?Ungeandika tu kiswahili