Nicole Berry, mwanadada anayepiga mamilioni kwenye kilimo cha vitunguu Iringa

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
vijana shtukeni kilimo kinalipa balaa, ebu ona dada yetu anavyopiga mamilioni kwnye kilimo huko Iringa. Nini maoni yako mkuu
Hapa akiandaa shamba kwa ajili ya kupanda

hapa akibadlishana mawazo na wafugaji wenzake wenye asili ya kimasai njia mpya za ufugaji

hapa chini akipumzika kidogo kabla ya kuendelea na safari kuelekea shambani

akiwa amepumzikaa nyumbani baada ya mihangaiko ya siku nzima shambani

hapa akishiriki video ya mbongo fleva Harmonize,anadai hakutaka kabisa kushiriki video hii sababu ya maadili na hasa ikizingatiwa kuwa hajazoea kuacha mwili wake wazi.
 
Sijui tako kaliokotea wapi,eti mkulima anashika jembe utafikiri vidole vinafangasi.

Huyo akikaribia miaka 40 tako linaporomoka,amuulize mwenzake Vanity Wonder tako lake kila siku linadondoka.

Na sasa hivi safari za nje hazipo,zile picha za ig kwenye mahoteli makubwa hamna na walivyokuwa hawana akili ya kutunza na kuwekeza hela baada ya miezi kazaa wataanza kulia njaa.

Yaani hamna ratio kati ya kalio na miguu,mwisho wa siku shepu imekuwa kama rungu la mmasai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…