KERO NIDA Kawe tubadilike, jengo zima hamna generator kweli? Uhamiaji humohumo aisee hii ni aibu sana

KERO NIDA Kawe tubadilike, jengo zima hamna generator kweli? Uhamiaji humohumo aisee hii ni aibu sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ningekuwa mimi leo viss wa NIDA Kawe asingerudi ofisini tena kesho

Leo nimesikitika sana nikamkumbuka Magufuli mno

Ajabu sana kuona ofisi kubwa kama Kawe NIDA haina genereta

Huko huko ndani kuna ofisi za Uhamiaji. Mnatupeleka wapi?

Mbaya tumekaa toka saa tatu asubuhi mpaka saa nane wapendwa tunasubiria kujiandikisha NIDA, wengine wanasubiria namba zao na kadi.

Ukiuliza wanakwambia kwani uko peke yako huoni wenzako wamejazana hapo nje!

Hili jibu likanifanya niondoke muda huohuo nikaenda bar ya upande wa pili kunywa aisee

Leo imenisikitisha sana kuona ofisi kubwa kana hii haina genereta

Tunaomba mkaikague hii ofisi urasimu ufe tukishatoka uko jamani
 
NIDA nayo inahitaji muwekezaji!!
💯 mkuu kwa yale niliyoyaona tena awe mzungu mkuu ama muisrael wakutunyoosha tunafanya kazi kwa mazoea sanaaa

Mbaya zaidi pemben kunaa saloon ina generate

Mbele kuna sehemu za photocopy zina generetaaa
Jaman
.ofisikubwaa kama hizi mnakosaa nn kuwa na generata

Watu zaidi ya 200 M nilikuwa wa 200+ kwenye daftari hawa wote tunasuburia umeme jamaani tunakoseaaa wapi;???kwani
 
Ama naoo tunasuburiampesa za world Bank kununua genereta

Nenden mkakague imeumizaa wengii sana wametoka mbali watu unakutana na shida ya umeme aisee
 
Back
Top Bottom