Mawaziri wenu wenyewe NI MIFUKO JUMLISHA NA MIFURUSHI.ipo tu kama mikondoo.
Mwisho wa mwezi wapokee mishahara na posho ndo kazi wanayoiweza.dunia ya sasa ya utandawazi waziri hawezi kusema kuwa hana taarifa ya utumbo unaofanywa na watendaji wao.wanazipata ila wanakaa kimyaa.Wanajua hata mkisema MTAFANYA NINI?