NIDA mliangalie hili

NIDA mliangalie hili

Syston

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2017
Posts
243
Reaction score
351
Leo uzi wangu naikosoa NIDA hasa katika kipengere hiki cha kuprint ID copy online. Ni jambo zuri na mnastahii kupongezwa kwa hilo ila mtu aliyepitia adha za huduma hii hawezi kuwapongeza, mimi nikiwemo.

Tuanze hivi, nilienda statinary kuprint ID nikaambiwa 4000, nikaona siwezi kuvumilia ujinga wa wafanya biashara wa kibongo kupandisha bei inapotoea dili, basi nikarudi zangu maskani nikaingia NIDA id verfication portal nikadowload ID yangu ili nikai print nipeleke inapohitajika.

Mama weeeee! ikaja katika mfumo wa .gif. Tuzungumzie GIF kidogo, hii ni kifupisho cha GRAPHICS INTERCHANGE FORMAT, ambayo huwa haipotezi ubora wa picha (lossless format), mfano wake ni vile vipicha unaona kitacheza na hakina sauti. Ok huu ni mfumo mzuri wa kuhifadhi ubora lakini hata mifumo mingine kama PNG, JPEG nk nayo haipotezi ubora kiasi cha macho kuona ubora umepungua.

Shida ni kuwa hizi .gif files huwezi kuzifungua moja kwa moja kwenye computer mpaka uwe na software tool, au unajua kucheza na computer (jambo ambalo kwa watanzania lipo kushoto). Hapa nachojiuliza ni kuwa kwa nini NIDA waweke kwenye mfumo huu wakati lengo lao ni kumrahisishia mwananchi mnyonge apate Copy ya ID yake kwa ajili ya matumizi mbalimbali.

Binafsi nimekerwa sana na watu wa stationary maana wamekuwa kama wauza nyama buchani na NIDA ndiyo sikukuu yao. NIDA nadhani mmeliona hili hakuna point ya kuwa na hii service kama mtu hawezi kujihudumia mwenyewe. Sometimes unaambiwa tuma picha ya ID sasa wew mwenyewe huwezi ifungua utamtumiaje mtu ambaye pengine ni ajira au unataka mkopo.
YANGU NI HAYO.
 
Shida ni wewe unapo download kitambulisho kinakuja katika mfumo wa pdf

Inawezekana wewe ,wakati una download kifaa chako hakikuwa na app ya ADOBE PDF ,

Mabadiliko ya kimfumo huwa yanakuja na changamoto tatixo hatukubali changamoto zilizopo tunataka kuwa kama makinda ya ndege kila kitu kulishwa

Tubadilike ...Taifa letu lilikuwa nyuma sana , mfumo km huo wa nida nimekuta ujerumani mwaka 2006 wanatumia na watu walishazoea kabisa

Tatizo upuuziaji wa mambo ndio unapelekea leo wananchi wengi kuanza kuhangaika kama popo

Mfumo wa portal umeanzishwa ni kwa kila mtu tukiamni kuwa karibu kila familia moja kuna mwana familia anamiliki ....smart phone ,sio kwenda stetionary

Ukienda stetionary lazima wakuchaji gharama na wao si wanataka faida ......

Tubadilike tukubali ...mabadiliko ya kiteknolojia ndio mwanzo wa huduma nyingi kuboreshwa

Na mwisho wale ambao hawajajisajili kabisa nida naomba waaanze kulipia , kuanzia wenye miaka 19. Na kuendelea ambao zoezi limefanyika wapo tu wanajidai wazee wa mishe

Huduma iendelee kiwa bure kwa wale waliokuwa na sababu maalumu tu kama ugonjwa,ajali ,safari na ambao hawakuwa wamefikisha miaka 18

MUNGU IBARIKI ...NIDA HASA MKURUGENZI WAKE ..PAMOJA NA MA I.T OFICER WA KILA MKOA , MBARIKI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AENDELEE NA MSIMAMO HUO HUO !!

Sent using i phone x
 
Leo uzi wangu naikosoa NIDA hasa katika kipengere hiki cha kuprint ID copy online. Ni jambo zuri na mnastahii kupongezwa kwa hilo ila mtu aliyepitia adha za huduma hii hawezi kuwapongeza, mimi nikiwemo.

Tuanze hivi, nilienda statinary kuprint ID nikaambiwa 4000, nikaona siwezi kuvumilia ujinga wa wafanya biashara wa kibongo kupandisha bei inapotoea dili, basi nikarudi zangu maskani nikaingia NIDA id verfication portal nikadowload ID yangu ili nikai print nipeleke inapohitajika.

Mama weeeee! ikaja katika mfumo wa .gif. Tuzungumzie GIF kidogo, hii ni kifupisho cha GRAPHICS INTERCHANGE FORMAT, ambayo huwa haipotezi ubora wa picha (lossless format), mfano wake ni vile vipicha unaona kitacheza na hakina sauti. Ok huu ni mfumo mzuri wa kuhifadhi ubora lakini hata mifumo mingine kama PNG, JPEG nk nayo haipotezi ubora kiasi cha macho kuona ubora umepungua.

Shida ni kuwa hizi .gif files huwezi kuzifungua moja kwa moja kwenye computer mpaka uwe na software tool, au unajua kucheza na computer (jambo ambalo kwa watanzania lipo kushoto). Hapa nachojiuliza ni kuwa kwa nini NIDA waweke kwenye mfumo huu wakati lengo lao ni kumrahisishia mwananchi mnyonge apate Copy ya ID yake kwa ajili ya matumizi mbalimbali.

Binafsi nimekerwa sana na watu wa stationary maana wamekuwa kama wauza nyama buchani na NIDA ndiyo sikukuu yao. NIDA nadhani mmeliona hili hakuna point ya kuwa na hii service kama mtu hawezi kujihudumia mwenyewe. Sometimes unaambiwa tuma picha ya ID sasa wew mwenyewe huwezi ifungua utamtumiaje mtu ambaye pengine ni ajira au unataka mkopo.
YANGU NI HAYO.
File aina gani ambalo unaweza kufungua moja kwa moja bila app maalum kwenye computer? Kama ni Windows, inakuja na free loaded apps kama Paint, Photos, Paint 3D etc, sasa tatizo lipo wapi?
 
File gani ambalo unaweza kufungua moja kwa moja bila app maalum kwenye computer? Kama ni Windows, inakuja loaded na apps kama Paint, Photos, Paint 3D etc, sasa tatizo lipo wapi?
Huyo ndugu uelewa wake upo chini kwenye maswala ya kompyuta ....anajidai anajua kumbe anaungua jua kompyuta aliuotumia nahic haina adobe reader

Sent using i phone x
 
Huyo ndugu uelewa wake upo chini kwenye maswala ya kompyuta ....anajidai anajua kumbe anaungua jua kompyuta aliuotumia nahic haina adobe reader

Sent using i phone x
Atakuwa ni babu wa miaka 70. Elfu 4 ku print anaona hela nyingi sana. Kuhangaika kote sababu ya elfu 4?
 
Shida ni wewe unapo download kitambulisho kinakuja katika mfumo wa pdf

Inawezekana wewe ,wakati una download kifaa chako hakikuwa na app ya ADOBE PDF ,

Mabadiliko ya kimfumo huwa yanakuja na changamoto tatixo hatukubali changamoto zilizopo tunataka kuwa kama makinda ya ndege kila kitu kulishwa

Tubadilike ...Taifa letu lilikuwa nyuma sana , mfumo km huo wa nida nimekuta ujerumani mwaka 2006 wanatumia na watu walishazoea kabisa

Tatizo upuuziaji wa mambo ndio unapelekea leo wananchi wengi kuanza kuhangaika kama popo

Mfumo wa portal umeanzishwa ni kwa kila mtu tukiamni kuwa karibu kila familia moja kuna mwana familia anamiliki ....smart phone ,sio kwenda stetionary

Ukienda stetionary lazima wakuchaji gharama na wao si wanataka faida ......

Tubadilike tukubali ...mabadiliko ya kiteknolojia ndio mwanzo wa huduma nyingi kuboreshwa

Na mwisho wale ambao hawajajisajili kabisa nida naomba waaanze kulipia , kuanzia wenye miaka 19. Na kuendelea ambao zoezi limefanyika wapo tu wanajidai wazee wa mishe

Huduma iendelee kiwa bure kwa wale waliokuwa na sababu maalumu tu kama ugonjwa,ajali ,safari na ambao hawakuwa wamefikisha miaka 18

MUNGU IBARIKI ...NIDA HASA MKURUGENZI WAKE ..PAMOJA NA MA I.T OFICER WA KILA MKOA , MBARIKI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AENDELEE NA MSIMAMO HUO HUO !!

Sent using i phone x
Ndugu mpaka nimepost ni jambo limenikera sana, pia nikujulishe PC yangu ina run paid version of adobe(Premium) coz naitumia kwa ishu muhimu, another thing ni kuwa in case you don't know i am an IT guru. Nachojaribu kukwambia ni kuwa sacha kuwa unahukumu watu kwa kesi usizozijua. Pia uache kiherehere, Serikali imesema ID ni bure we unataka watu walipie kwa kuwa we umepata sio? Jitafakari roho ya kichoyo haitakupeleka popote. Sijakasirika nimekuambia tu kukushauri maana siku hizi watoto mkiwa na 10,000 mfukoni mnadhani hamna mtu mwingine atakuwa na 10000. Pia ujue portal ya NIDA haipo tu mtu kuona ID yake kuna watu walienda kuandikisha wakaombwa ID za wazazi ikabidi wasubiri zitoke waprint na NIDA wanatambua hilo, wewe tu ndo bado hujajua.
 
Ndugu mpaka nimepost ni jambo limenikera sana, pia nikujulishe PC yangu ina run paid version of adobe(Premium) coz naitumia kwa ishu muhimu, another thing ni kuwa in case you don't know i am an IT guru. Nachojaribu kukwambia ni kuwa sacha kuwa unahukumu watu kwa kesi usizozijua. Pia uache kiherehere, Serikali imesema ID ni bure we unataka watu walipie kwa kuwa we umepata sio? Jitafakari roho ya kichoyo haitakupeleka popote. Sijakasirika nimekuambia tu kukushauri maana siku hizi watoto mkiwa na 10,000 mfukoni mnadhani hamna mtu mwingine atakuwa na 10000. Pia ujue portal ya NIDA haipo tu mtu kuona ID yake kuna watu walienda kuandikisha wakaombwa ID za wazazi ikabidi wasubiri zitoke waprint na NIDA wanatambua hilo, wewe tu ndo bado hujajua.
Yani wewe ni IT guru?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom